Astra Projection

Habari wanajf,
Nilikuwa naomba mrejesho wa walioweza kufanya Astra projection.
Maana mimi nimeweza jana baada ya siku nyingi?
Tuambie kwanza uzoefu wako,umetumia muda gani mpaka ukaweza,changamoto gani ulikutana nazo,ulipotoka nje ya mwili ulienda wapi?nani alikusaidia.
Faida zake ni nini?Je imani yako inasemaje juu ya jambo hilo
Ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…