Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 320
Na kwa demokrasia iliyopo CCM, huyu hatoitwa msaliti, mhaini, masalia, au ametumwa na chama cha upinzani. Wala hutosikia katibu mkuu na mwenyekiti wa taifa wakipita mikoani kuelezea usaliti wake.
Kama wewe sio mnafiki mwenye hoja za kipumbavu basi tujibu yafuatayo, Vipi yule mbunge wa CCM Zanzibar aliyevuliwa uanachama na ubunge?!! Alitenda kosa gani?? Na Abdi Jumbe je hadi akawekwa kizuizini Kigamboni wakati alikuwa ni raisi wa Zanzibar??!!