Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Wadau jana nimeshtuka sana na kustaajabu baada ya kusoma tangazo la kazi lililotolewa na gazeti la Daily News la jana kwenye ukurasa wake wa 5.
TPDC wanatafuta mhasibu msaidizi na awe na sifa zifuatazo;-
1. Holder of Diploma in Accountancy or equivalent qualification from a recognized institution.
2. Holder of Advance Diploma in Accountancy or bachelor degree in accountancy will be an added advantage.
3. Practical experience of not less than ten years in the relevant field.
Hoja yangu ni hapo kwenye red. Hivi mtu anaweza kuwa assistant accountant kwa miaka kumi hapandi? yaani hachukui review classes za CPA wala haongezi nondo? kwa mawazo yangu mtu kama huyo kadumaa. Ulimwengu wa sasa sio wa kulazimisha watu wawe na ujuzi wa miaka kumi na qualification za chini ningewaelewa kama wangetaja ujuzi wa miaka kumi kwa mtu mwenye Masters au CPA.
TPDC wanatafuta mhasibu msaidizi na awe na sifa zifuatazo;-
1. Holder of Diploma in Accountancy or equivalent qualification from a recognized institution.
2. Holder of Advance Diploma in Accountancy or bachelor degree in accountancy will be an added advantage.
3. Practical experience of not less than ten years in the relevant field.
Hoja yangu ni hapo kwenye red. Hivi mtu anaweza kuwa assistant accountant kwa miaka kumi hapandi? yaani hachukui review classes za CPA wala haongezi nondo? kwa mawazo yangu mtu kama huyo kadumaa. Ulimwengu wa sasa sio wa kulazimisha watu wawe na ujuzi wa miaka kumi na qualification za chini ningewaelewa kama wangetaja ujuzi wa miaka kumi kwa mtu mwenye Masters au CPA.