unaiacha humohumo ndani ili siku nyingine usiwe na haja ya kununua nyingine. pia hii itakusaidia usiingize mimba sisizo na mpangilio. big up. usiitoe, iache mumo kwa mumo.
Mimi ilishawahi nitokea nikiwa kwa GAME...sikugundua mwanzoni...at the end nashituka nkakuta ngoma iko dry....nkaanza kuisaka baada ya GAME...sikuikuta kabisa; My ♥ wangu akaondoka,kufika home akaenda 0ga...then akahisi haja ndogo....kukojoa akakuta CONDOM ..INATOKA..
Akanipigia simu nikaamua kuapologize; sometymes game huwa inakuwa kali so hata kugundua ni ngumu...
Mkuu tatizo dogo hili
napokojoa lazima itasukumwa na mkojo na kumpa mwanya wa kuivuta na mkono; yani mie nlidata xana nkaanza kuhisi mengine but baadaye nikarudi normal baada ya kupata in4
heri ya pasak??! Hivi unajua hata maana ya pasaka? Maana unaleta post za kizinzi kizinzi alafu unaanza kwa kusema heri ya pasaka! Plz usimsurubishe Bwana Yesu kwa mara ya 2.
Ishatokea kwa dem nliyekuwa namtafuna one day back in 1991 mkuu! Baada ya kuchomoa nikashangaa condom haipo, baada ya kupekua sana nikaikuta kwenye uke wa dem. Nikafanya uchunguzi nikagundua kuwa inatokeaga Kama ukiwa unapiga bao mbili humo kwa humo kwa kutumia condom moja. kwaiyo bandugu, condom moja, bao moja.
unaiacha humohumo ndani ili siku nyingine usiwe na haja ya kununua nyingine. Pia hii itakusaidia usiingize mimba sisizo na mpangilio. Big up. Usiitoe, iache mumo kwa mumo.