Dessertation ni muhimu sana kwa wanaosoma Post Graduate kwani inakufanya usome vitabu vingi sana kuhusiana na topic au tatizo uliloamua kulifanya tafiti; kwa kusoma hivyo vitabu na kuandika unakuwa umeelewa sana ile topic na inahitimishwa kwa wewe kutunikiwa shahada. Sasa unapoomba ufanyiwe utaelewa nini? Wewe unatakiwa ufanye mwenyewe kwa maelekezo na ushauri wa "Supervisor" wako.....si busara hata kidogo kuandikiwa Dessertation
Subiri kidogo kuna jamaa anamalizia kuogesha mtoto atakusaidia hata kupokea cheti, na interview ya kazi pia anaweza kwenda badala yako. Hata kubalance mahesabu kazini pia ukishindwa atakuja.
Dessertation ni muhimu sana kwa wanaosoma Post Graduate kwani inakufanya usome vitabu vingi sana kuhusiana na topic au tatizo uliloamua kulifanya tafiti; kwa kusoma hivyo vitabu na kuandika unakuwa umeelewa sana ile topic na inahitimishwa kwa wewe kutunikiwa shahada. Sasa unapoomba ufanyiwe utaelewa nini? Wewe unatakiwa ufanye mwenyewe kwa maelekezo na ushauri wa "Supervisor" wako.....si busara hata kidogo kuandikiwa Dessertation