Asome course IPI kati ya izi yenye soko?

Asome course IPI kati ya izi yenye soko?

Kokubanza-G

Senior Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
111
Reaction score
23
Habari wakuu.Nina mdogo wangu baada ya kukosa nacte kutokana na competition nlimuombea vyuo viwili Maji na st Francis ifakara.kapata water supply and sanitation engineering na kingine kapata medical laboratory sciences.nsaidien kuchagua course IPI nzuri
 
Habari wakuu.Nina mdogo wangu baada ya kukosa nacte kutokana na competition nlimuombea vyuo viwili Maji na st Francis ifakara.kapata water supply and sanitation engineering na kingine kapata medical laboratory sciences.nsaidien kuchagua course IPI nzuri
wakati unamuombea hizo kozi kwenye ivyo vyuo mbona hukuomba ushauri..... punguza ulimbukeni
 
Habari wakuu.Nina mdogo wangu baada ya kukosa nacte kutokana na competition nlimuombea vyuo viwili Maji na st Francis ifakara.kapata water supply and sanitation engineering na kingine kapata medical laboratory sciences.nsaidien kuchagua course IPI nzuri
Asome anacho kipenda yeye
 
Kwani tangu unaanza Darasa LA Kwanza ulikuwa unasoma ili uwe nani?
 
Back
Top Bottom