PostGE2025 Askofu Stephano Musomba: Tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu, kwa sababu hawa hawajaumwa walipigwa risasi

PostGE2025 Askofu Stephano Musomba: Tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu, kwa sababu hawa hawajaumwa walipigwa risasi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Misa Takatifu ya kuwaombea waliouwawa na waliojeruhiwa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025 | Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki Bagamoyo ikiongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba O.S.A

“Tunaadhimisha misa hii nia zetu tatu, kwanza tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu. Tunasema waliuawa kwa sababu watu hawa hawakuumwa, walipigwa risasi. Tunawaombea waliojeruhi na wapo katika maumivu makali, Mungu awape wepesi waweze kupona. Tunaombea haki na amani katika nchi yetu”
 
Wanayaishi maandiko ya Biblia.

Ndiyo uthibitisho ule wa 'Kanisa moja takatifu Katoliki na la mitume.



Biblia kwenye waraka kwa Waefeso,

Waefeso 6:14-18​

inasema:

Basi, kaeni tayari. Ukweli na uwe kama mkanda kiunoni mwenu, uadilifu uwe kama vazi la kujikinga kifuani, na hamu ya kutangaza Habari Njema iwe kama viatu miguuni mwenu.

Ukiona kasisi, mchungaji, askofu, nabii, anakuwa mwoga kuusema ukweli, jua kuwa anamtumikia shetani. Mtumishi wa Mungu ni yule anayeusema ukweli bila ya kuogopa ukweli huo utamgharimu kwa kiwango gani.
 
Misa Takatifu ya kuwaombea waliouwawa na waliojeruhiwa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025 | Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki Bagamoyo ikiongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba O.S.A

“Tunaadhimisha misa hii nia zetu tatu, kwanza tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu. Tunasema waliuawa kwa sababu watu hawa hawakuumwa, walipigwa risasi. Tunawaombea waliojeruhi na wapo katika maumivu makali, Mungu awape wepesi waweze kupona. Tunaombea haki na amani katika nchi yetu”
1762871331314.jpeg


1762871493388.png
 
Hili kanisa linasimamia ukweli,halinaga kujipendekeza!
Hilo kanisa huwa na kelele nyingi rais akiwa ni mtu anayswali kuelekea Makkah
Kwenye sala zao hawakuwakumbuka walioharibiwa mali kwa sababu haikai vizuri na agenda yao
 
Misa Takatifu ya kuwaombea waliouwawa na waliojeruhiwa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Tanzania 2025 | Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria, Jimbo Katoliki Bagamoyo ikiongozwa na Askofu Stephano Lameck Musomba O.S.A

“Tunaadhimisha misa hii nia zetu tatu, kwanza tunawaombea waliouawa wakati wa uchaguzi mkuu. Tunasema waliuawa kwa sababu watu hawa hawakuumwa, walipigwa risasi. Tunawaombea waliojeruhi na wapo katika maumivu makali, Mungu awape wepesi waweze kupona. Tunaombea haki na amani katika nchi yetu”
Watumaji na wasababishaji wa mauaji naona wanahangaika kweli kweli........UNAFIKI haufichiki ndg'angu!!
 
Udini wako ndio chanzo cha machafuko haya. Hivi mnashida gani nyie? Somalia, Sudani, Mali, Nigeria mna ahida sana
 
Back
Top Bottom