Askofu Pengo asema Muhimbili inatosha

Askofu Pengo asema Muhimbili inatosha

Napata mashaka na mtumishi wa Mungu Pengo kujua kigezo alichotumia kutoa kauli hiyo.
Hivi anajua kuwa huduma aliyokuwa anapewa yeye pale haina tofauti na ya Rais kulingana na nafasi yake?
Jee anadhani hata babu toka Kimanzichana au kinda wa daladala naye atapata picha ya Muhimbili kama yeye?
Umwa na wewe moyo tukupeleke ukitoka useme huo utumbo.
umeambiwa taasisi ni kwa watu wote haibagui unaleta blah blah,ugua bas ukajionee huduma sio lazima upinge kila kizuri chavserikali
 
Napata mashaka na mtumishi wa Mungu Pengo kujua kigezo alichotumia kutoa kauli hiyo.
Hivi anajua kuwa huduma aliyokuwa anapewa yeye pale haina tofauti na ya Rais kulingana na nafasi yake?
Jee anadhani hata babu toka Kimanzichana au kinda wa daladala naye atapata picha ya Muhimbili kama yeye?
Umwa na wewe moyo tukupeleke ukitoka useme huo utumbo.
umeambiwa taasisi ni kwa watu wote haibagui unaleta blah blah,ugua bas ukajionee huduma sio lazima upinge kila kizuri cha serikali
 
Bahati nzuri haya kayasema Pengo angesema Sheikh yoyote JF ungechimbika kwa matusi...daah!!
 
pengo alienda muhimbili kama mgonjwa au mtafiti? jibu ni alienda kama mgonjwa, sasa asione huduma aliyoipata ya ki V.I.P kutokana na umaarufu wake na ushawishi wake akadhani kila mtanzania anafanyiwa hivyo akasema inatosha, anajiharibia heshima yake sana

umevurugwa ujui unaloandika
 
Napata mashaka na mtumishi wa Mungu Pengo kujua kigezo alichotumia kutoa kauli hiyo.
Hivi anajua kuwa huduma aliyokuwa anapewa yeye pale haina tofauti na ya Rais kulingana na nafasi yake?
Jee anadhani hata babu toka Kimanzichana au kinda wa daladala naye atapata picha ya Muhimbili kama yeye?

Wazo msingi hapa ni kwamba viongozi wasikimbilie kutibiwa nje, bila kujali gharama, hospitali za hapa ndani zina uwezo wa kuwatibu kwa sasa.
 
Wazo msingi hapa ni kwamba viongozi wasikimbilie kutibiwa nje, bila kujali gharama, hospitali za hapa ndani zina uwezo wa kuwatibu kwa sasa.
Kweli mkuu... Wengine wanajadili kwa chuki... Hapa wanazungumzia wa level yake... Tusijfanye tunawajali sana maskini na huku tunajua pengo la walionacho lipo... Iwe mbowe, jk, mbunge na wengine tofaut ipo kutokana na level yao.
 
Umwa na wewe moyo tukupeleke ukitoka useme huo utumbo.
umeambiwa taasisi ni kwa watu wote haibagui unaleta blah blah,ugua bas ukajionee huduma sio lazima upinge kila kizuri cha serikali
Kwa hiyo kwa akili yako huduma za Muhimbili zimefikia kiwango kinachotakiwa kwa hospitali ya rufaa ya nchi?
Wewe ni shabiki tuu kama wa mpira
 
Back
Top Bottom