Askofu Mwamalanga: Serikali haikutakiwa kutuhumu

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,315
152,113
Hapa nangalia starr tv kipindi cha tuongee asubuhi na mada inahusu sakata la madawa ya kulevya na mgeni mwalika ni Askofu William Mwamalanga ambae ni mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya maadili ya madhehebu ya kidini.

Kwa mujibu wa Askofu huyo,Gwajima alishiriki kusaidia waathirika wa madwa ya kulevya na alishirikiana na Polisi jamii.

Kagusia pia club Billicanas na anaoekana ku-suggest kuwa club ile ndio imepelekea Mbowe kutajwa kama ambavyo Gwajima ametajwa kwasababu tu ya kusaidia waathirika wa madawa.

Huyu Askofu inaonekana kuwa na details kuhusu sakata hili.

Chanzo:Star tv

Kama hii ni kweli,kitendo cha kuwataja watu kwa ujumla tu kwakweli hakikuwa cha haki.
Askofu William Mwamalanga yupo live Star TV anaongelea issue ya madawa ya kulevya. Anasema yeye ni mpambanaji sana katika jambo hili.

Anasema kipindi cha nyuma Askofu Gwajima alituhumiwa sana na wao walifanya uchunguzi lakini hawakuweza kubaini kama Gwajima anajihusisha na madawa ya kulevya isipokuwa alikuwa na utamaduni wa kuwaalika vijana waathirika katika semina zake na kuwapa neno.

Ameongeza pia kati ya waliotajwa kuna wengine walishaacha miaka miwili iliyopita

Anasema yeye amewahi kutoa list ya viongozi wa dini kwa serikali ili waifanyie kazi. Serikali ilifanikiwa na kama tulivyosikia viongozi wa dini toka Naijeria

Ameongeza kuwa serikali haitakiwi kutuhumu,wananchi ndio wanatakiwa wapeleke tuhuma na serikali kuwa vyombo vyake itafanyia kazi na kuchukua hatua

Amesema pia kuwa kuna watu wengi tu anashangaa hawajatajwa

Pia anashauri Makonda asikatishwe tamaa hata kama kakosea,aongozwe ili jambo hili liwe la kitaifa
 
Askofu William Mwamalanga yupo live Star TV anaongelea issue ya madawa ya kulevya. Anasema yeye ni mpambanaji sana katika jambo hili.

Anasema kipindi cha nyuma Askofu Gwajima alituhumiwa sana na wao walifanya uchunguzi lakini hawakuweza kubaini kama Gwajima anajihusisha na madawa ya kulevya isipokuwa alikuwa na utamaduni wa kuwaalika vijana waathirika katika semina zake na kuwapa neno.

Ameongeza pia kati ya waliotajwa kuna wengine walishaacha miaka miwili iliyopita

Anasema yeye amewahi kutoa list ya viongozi wa dini kwa serikali ili waifanyie kazi. Serikali ilifanikiwa na kama tulivyosikia viongozi wa dini toka Naijeria

Ameongeza kuwa serikali haitakiwi kutuhumu,wananchi ndio wanatakiwa wapeleke tuhuma na serikali kuwa vyombo vyake itafanyia kazi na kuchukua hatua

Amesema pia kuwa kuna watu wengi tu anashangaa hawajatajwa

Pia anashauri Makonda asikatishwe tamaa hata kama kakosea,aongozwe ili jambo hili liwe la kitaifa
 
Askofu William Mwamalanga yupo live Star TV anaongelea issue ya madawa ya kulevya. Anasema yeye ni mpambanaji sana katika jambo hili.

Anasema kipindi cha nyuma Askofu Gwajima alituhumiwa sana na wao walifanya uchunguzi lakini hawakuweza kubaini kama Gwajima anajihusisha na madawa ya kulevya isipokuwa alikuwa na utamaduni wa kuwaalika vijana waathirika katika semina zake na kuwapa neno

Anasema yeye amewahi kutoa list ya viongozi wa dini kwa serikali ili waifanyie kazi. Serikali ilifanikiwa na kama tulivyosikia viongozi wa dini toka Naijeria

Ameongeza kuwa serikali haitakiwi kutuhumu,wananchi ndio wanatakiwa wapeleke tuhuma na serikali kuwa vyombo vyake itafanyia kazi na kuchukua hatua

Amesema pia kuwa kuna watu wengi tu anashangaa hawajatajwa

Pia anashauri Makonda asikatishwe tamaa hata kama kakosea,aongozwe ili jambo hili liwe la kitaifa
Kwani jina la mirage limo.
 
kwa iyo akuna watu wanaosari kwa mungu iliali wanafanya ushilikina?
 
Wanabodi,
Salaam;

Viongozi wetu wa ki-siasa hasa hizi za nchi zetu huwa wanafanya makosa ya hovyo sana tena ya kujitakia..!!

Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar,jiji lenye mambo yote hapa nchini. Huyu amekuwa kiongozi mwenye kutafuta sifa kuliko kiongozi yeyote kuwahi kuwahi kumshuhudia. Lkn yote haya anayofanya yanatokana hasa na sifa ambazo amekuwa akipewa na aliyemteua ambae ndo mwenye mamlaka makubwa zaidi.

Rais km mkuu wa nchi,hakupaswa kabisa kufanya vile,km makonda alikuwa anafanyakazi vizuri wala hakuhitaji kumsifia jukwaani,alipaswa kumpandisha cheo km alivyofanya kumtoa ukuu wa wilaya na kumpa ukuu wa mkoa.

Kwa jinsi anavyoendelea makonda,ni wazi kabisa anakwenda kumuaibisha Rais
Mambo haya mawili yanayomhusu makonda yatamgharimu sana Rais wetu.

Moja ni lile la kuwadhalilisha wabunge na la pili ni clip ya wema sepetu inayoelezea kashfa ya makonda ya kumpangisha masogange na masogange huyo huyo kutotajwa kabisa ktk list zote za makonda wakati alishaanza kutajwa kipindi kirefu na alishakamatwa kwa tuhuma km hizo huko Africa kusini.

Sisi yetu macho.
 
Hana mtetezi,yeye kasema hana la kusema
Hata mimi simtetei, ila wangemkamata na kizibo ningewapa heko!!!

Kama ni kusema basi unaweza tu kusema kuwa Muadhama Policap Pengo, Dr. Malasusa, Dr. Mokiwa, Dr. Niwemugizi ni walevi!!!! (na sisi tunajua hakika watu hao ni walevi wa kupindukia wa neno la Mungu)

Sisi tukikutazama tunakuona wewe ndio umekolea kwa kilevi kikali. (mwenye masikio na asikie)
 
Yeye ndio yule na yule ndio yeye hivyo anachosema yeye chatoka kwa yule kwavile yule yumo ndani ya yeye pasipo yeye kujuwa madhara ya yule kuwa ndani ya yeye pasipo kufuata taratibu za utendaji na uendeshaji.
 
Back
Top Bottom