MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,293
- 39,975
Askofu wa CHADEMA Mwamakula kaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook;
__________________________
GEN Z WALIOMUINGIZA MUSEVENI IKULU!
Edith (15) mmoja wa ma Gen Z wa Museveni akilinda Hospitali Kuu ya Kampala baada ya Yoweri Museveni kuukamata mji wa Kampala mwaka 1986 katika mapigano yaliyomuingiza katika Ikulu ya Uganda. Je, ulijua kuwa Gen Z ndio walimsaidia sana Museveni kuingia Ikulu kwa kuwa sehemu kubwa yao ndio waliokuwa wanaunda jeshi lake lake la msituni? Picha hii ni kwa hisani ya Odhiambo!
Hakuna jamii isiyotunza kumbukumbu ya watu wake walioshiriki katika kupigania ukombozi wa taifa lao. Gen tEndeleeni kutunza video na picha tarehe 29 - 31 Oktoba 2025. Wapuuzeni wanaotaka msizituze. Hii ni fahari yenu kesho!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 1 Desemba 2025; Saa 6:35 usiku
___________________________
Itoshe kusema kuwa huyu Askofu wa CHADEMA anachochea mapinduzi ikiwezekana hata kwa njia za kivita kupitia hawa watoto GenZ. Inashangaza sana Askofu kusifu uhalifu uliofanywa na Museveni kuwaingiza watoto jeshini ili kupigana vita vya kupindua serikali. Hii ina maana Askofu yuko tayari kuona GenZ wa bongo wakipewa silaha na kupambana kuiondoa serikali madarakani. Ninavisihi vyombo vya dola vimfuatilie kwa karibu huyu Askofu wa CHADEMA kwa sababu iko wazi kashaonyesha nia yake ovu dhidi ya amani ya nchi hii. Kwake yeye watoto kupoteza maisha ni furaha.
www.facebook.com
__________________________
GEN Z WALIOMUINGIZA MUSEVENI IKULU!
Edith (15) mmoja wa ma Gen Z wa Museveni akilinda Hospitali Kuu ya Kampala baada ya Yoweri Museveni kuukamata mji wa Kampala mwaka 1986 katika mapigano yaliyomuingiza katika Ikulu ya Uganda. Je, ulijua kuwa Gen Z ndio walimsaidia sana Museveni kuingia Ikulu kwa kuwa sehemu kubwa yao ndio waliokuwa wanaunda jeshi lake lake la msituni? Picha hii ni kwa hisani ya Odhiambo!
Hakuna jamii isiyotunza kumbukumbu ya watu wake walioshiriki katika kupigania ukombozi wa taifa lao. Gen tEndeleeni kutunza video na picha tarehe 29 - 31 Oktoba 2025. Wapuuzeni wanaotaka msizituze. Hii ni fahari yenu kesho!
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Itunge, Dar es Salaam; 1 Desemba 2025; Saa 6:35 usiku
___________________________
Itoshe kusema kuwa huyu Askofu wa CHADEMA anachochea mapinduzi ikiwezekana hata kwa njia za kivita kupitia hawa watoto GenZ. Inashangaza sana Askofu kusifu uhalifu uliofanywa na Museveni kuwaingiza watoto jeshini ili kupigana vita vya kupindua serikali. Hii ina maana Askofu yuko tayari kuona GenZ wa bongo wakipewa silaha na kupambana kuiondoa serikali madarakani. Ninavisihi vyombo vya dola vimfuatilie kwa karibu huyu Askofu wa CHADEMA kwa sababu iko wazi kashaonyesha nia yake ovu dhidi ya amani ya nchi hii. Kwake yeye watoto kupoteza maisha ni furaha.
Log into Facebook
Log into Facebook to start sharing and connecting with your friends, family, and people you know.