Askofu Mtetemelwa ni 201 au CCM?

Askofu Mtetemelwa ni 201 au CCM?

Travelogue_tz

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
855
Reaction score
1,224
Kauli ya Askofu Mtetemela
Katika mchango wake, Askofu Mtetemela alilieleza kukerwa na kauli ya Profesa Lipumba kuliita Bunge la Maalum la Katiba kuwa linafanana na kundi ovu la Italahamwe.
“Nasikitika kwamba sijaweza kumuona yeye binafsi Profesa Lipumba iliniweze kumwambia masikitiko yangu, nanaamini ni masikitiko ya wengine. Mshtuko wangu ni kwamba alilinganisha Bunge hili nakundi la Intarahamwe la Rwanda,” alisema.
Alibainishakwambakihistoria inajulikana Intarahamwe ni wauaji, hivyo sio busara kabisa kuwafananisha wajumbe waBunge Maalumu nakundi hilo.
“Hatuko hapa kumuua mtu yeyote, kutuita sisiwauajisi jambo jema, ni bayalakinipia kaulihiyo inaweza kufufua maumivu ya wenzetu waRwanda ambao hawatakihalihiyo ijirudietena katika nchi yao,” alisema.
Alieleza kuwa kaulihiyo pia inaweza kuibua hisia tofauti hatakwaSerikaliyaRwanda inayowezakufikirikuwa Tanzaniainalifanyia mzahajambo lililowaumizakwakiasi kikubwa. Chanzo: Mwananchi
 
Ni kweli kabisa kwa hili Prof. Lipumba aliteleza,atafute muda awaombe radhi watanzania.
 
Ni kweli kabisa kwa hili Prof. Lipumba aliteleza,atafute muda awaombe radhi watanzania.

wanaotakiwa kuwaomba radhi si huyu tu hata wale waliokuwa wanatoa matusi dhidi ya wajumbe wenzao sababu tu wana maoni tofauti,wale walioleta ubaguzi wa kikabila na ukanda na hata mwenyekiti na makamu wa Bunge hili bila kukemea,na hawa wa mwisho wawili walitakiwa waweneutral ili kuweza kuliboresha bunge,lakini hawakuona wala kusikia pale wajumbe walipotifuana kwa lugha chafu na hata wajumbe walipoomba mwongozo walikataliwa,hawa ndiyo wakwanza kulaumiwa.

Busara zao wengi zilienda likizo.Kuna akuna mama waliotoa mipasho ya matusi kwa kweli wametudhalilisha sana wanawake wenzao,wanawake hatuna hulka za kutukana hadharani lakini unaona mwanamke mtu mzima anatoa matusi ya nguoni mpaka unashangaa lakini si Makamu wala Mwenyekiti anayekemea,BUSARA zao zmeenda likizo.
 
Mtetemela ni wale wenye kadi za Ccm ambazo zimeshika kutu!
 
kauli ya askofu mtetemela
katika mchango wake, askofu mtetemela alilieleza kukerwa na kauli ya profesa lipumba kuliita bunge la maalum la katiba kuwa linafanana na kundi ovu la italahamwe.
"nasikitika kwamba sijaweza kumuona yeye binafsi profesa lipumba iliniweze kumwambia masikitiko yangu, nanaamini ni masikitiko ya wengine. Mshtuko wangu ni kwamba alilinganisha bunge hili nakundi la intarahamwe la rwanda," alisema.
Alibainishakwambakihistoria inajulikana intarahamwe ni wauaji, hivyo sio busara kabisa kuwafananisha wajumbe wabunge maalumu nakundi hilo.
"hatuko hapa kumuua mtu yeyote, kutuita sisiwauajisi jambo jema, ni bayalakinipia kaulihiyo inaweza kufufua maumivu ya wenzetu warwanda ambao hawatakihalihiyo ijirudietena katika nchi yao," alisema.
Alieleza kuwa kaulihiyo pia inaweza kuibua hisia tofauti hatakwaserikaliyarwanda inayowezakufikirikuwa tanzaniainalifanyia mzahajambo lililowaumizakwakiasi kikubwa. Chanzo: Mwananchi

kauli ya busara.
 
Ni kweli kabisa kwa hili Prof. Lipumba aliteleza,atafute muda awaombe radhi watanzania.

Mtetemelwa ni mpotoshaji mkubwa! Lipumba alihusisha BLK na Interahamwe kutokana na kitendo cha UBAGUZI na si vinginevyo. Hayo ya mauaji askofu ameyapata wapi kama si ......
 
Mtetemela...askofu mkuu mstaafu Anglican...historia inawahulumu wengi na mambo walio simamia ...enzi ya uongozi wake...dayosis ya nyanza.DCT Mt.Kilimanjaro....
 
Msomi kama Profesa Lipumba leo anaingia kwenye Historia ya Kukimbia Mjadala muhimu wa katiba kwa kigezo eti katukanwa au kabaguliwa? Sasa Muuza ugoro wa kule Sikonge afanyaje?
 
Lipumba alikuwa na maana ya ubaguzi hayo mauji ni ya askofu kwanza kwani hao itrahamwe walikuwa wanabaguana kikabila na binge la katiba wanabaguana kiitikadi. Kundi la ccm na kundi la ukawa
Ubaguzi unaanza baadae ukikomaa unaleta mauwaji sasa ccm wanaanza na ubaguzi baadae yatafuata mauwaji
Askofu kama angekuwa na hata chembe ya unabii angekemea ubaguzi kwa nguvu zake zote
 
Msomi kama Profesa Lipumba leo anaingia kwenye Historia ya Kukimbia Mjadala muhimu wa katiba kwa kigezo eti katukanwa au kabaguliwa? Sasa Muuza ugoro wa kule Sikonge afanyaje?
Muuza ugoro na mtu kama wewe salome wangebaki kwani hawajijui waburuzwe watukanwe kwao ni sawa tu
Ukawa kwanza ni wavumilivu sana kamati zimeundwa zoooote ccm spika na makamu wake wote ccm kama kweli ccm walikuwa na nia ya maridhiano wasingechukua kamati zote
Pale bungeni wanajadili rasimu ya warioba ambayo imezunguka nchi zima kukusanya maoni ya wananchi time iliyosheheni wasomi na wataalamu wa sheria leo ccm wanataka wabadili rasimu walete yakwao
Big uuuup ukawa kwa kuonyesha msimamo wenu msikubali kuburuzwa na kuwa mambumbumbu kama kina salome
 
Hapajatokea askofu mwana wa shetani kama mtetemela nterahamwe. Sitafuta kauli yangu, kuzimu ndio makazi yake
 
Kwanza kanisa lake limekufa kabisa tangu shule zitaifishwe na Nyerere waanglikana wapo hoi kiuchumi hakufanya lolote kulisaidia kanisa huyu Mtetemela
 
Makonda anasema viongozi wa UKAWA ni Shetani. Anaambiwa afute kauli anasema hayo ni maandiko matakatifu. Askofu Mtetemelwa haonekani kukerwa, wala kukemea. Kwake yeye kwa sababu wameyafanya CCM wenzake ni sawa tu.
 
Ni kweli kabisa kwa hili Prof. Lipumba aliteleza,atafute muda awaombe radhi watanzania.

Awa ombe radhi watanzana au wajumbe wenzake? Wewe usiye mjumbe uombwe radhi kwa kosa gan alilo kukosea. kwanza Lipumba na kuomba usitengue usemi ubaki hivyo hivyo.na mimi naongezea MAINTARAHAMWE WAKUBWA HAWA.
 
Mtetemela ni wale wenye kadi za Ccm ambazo zimeshika kutu!

Inawezekana lkn jaman twende mbele turud nyuma the man was right.... Alisisitza aman ya nch hakuonesha yupo upande Wa crkali ip Bali Alisisitza kuwa Na muda wakutosha ktk kuitoa hoja ya serkali 2 Na kuismika serkali ya3. Tusiwe Na harakaharaka kwakuwasapot Hawa wanasiasa wenye uchu Wa madaraka.Twende taratibu.Kama kweli tunahtaj serkali tatu tuchague upnzan kwa moyo m1 then hao naamin wataleta mabadliko tuyatakayo.. Na tzia tuipendayo. Komba Na Mwigulu mmembwanda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom