Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
"Kwanini uhonge na kwanini uhongwe, chagua anaestahili, sikiliza sera zao. Na sasa dakikia za mwishomwisho watu wameanza kujipendekezapendekeza hapana. Mauaji ambayo yameendelea kusikika mpaka sasa, haijawa haki watu wanyamaze kama mauaji yanatendeka, si yanatendeka, hatusemi wewe unayatenda, si yanatendeka kwani kuna kigugumizi kusema ni kweli yanatendeka. Sasa huyo anayesema yasitendeke anakuwaje mbovu? Roho wa bwana hataruhusu hio. Anapenda amani iwe kwenu hakuna amani bila haki, na kama amani itakuwa kwenu haki itakuwa ni msingi wake."
Ujumbe kwa Walei Siku ya Pentekoste na Askofu Msonganzila, June 8, 2025, Kiabakari - Musoma
Ujumbe kwa Walei Siku ya Pentekoste na Askofu Msonganzila, June 8, 2025, Kiabakari - Musoma