Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
- Thread starter
- #101
hapo juu tuko ukurasa mmoja Mkuu...............
Ukiwa na system inayofanaya kazi yake inavyotakiwa.......haya maneno ya huyu Ndugu Kilaini wala yasingekuwa na maana........
....sidhani kama Kilaini kakurupuka tu........he has seen and experienced....who knows.......the ball is with the Government now.........let them take a note!
Hiyo ''experience'' ameipata baada ya Waziri Mkulo kutangaza kuwatoza kodi? Kilichomsukuma kutoa tamko sasa hivi na siyo kabla kiko wazi tu.