Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Eeh Askofu Gwajima pole kwa masaibu yaliyo kupata. Naamini Mungu yupo nawe na utapona maana kazi yake bado hujaimaliza na taifa linakuhitaji.
Mara utakapo pona tunahitaji tamko Kali sana zaidi ya hili LA sasa kwa woote waliotaka kudhuru afya yako na wote walionyuma ya mchezo huu mchafu. Usikae kimya kama Ulimboka na yule Mhariri
Mungu akulinde na akuponye uwanyooshe viongozi wanafiki. Vizazi na vizazi vitakumbuka mchango wako kwa taifa hili...
Mara utakapo pona tunahitaji tamko Kali sana zaidi ya hili LA sasa kwa woote waliotaka kudhuru afya yako na wote walionyuma ya mchezo huu mchafu. Usikae kimya kama Ulimboka na yule Mhariri
Mungu akulinde na akuponye uwanyooshe viongozi wanafiki. Vizazi na vizazi vitakumbuka mchango wako kwa taifa hili...