Askofu Gwajima ukipona ....

Askofu Gwajima ukipona ....

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Eeh Askofu Gwajima pole kwa masaibu yaliyo kupata. Naamini Mungu yupo nawe na utapona maana kazi yake bado hujaimaliza na taifa linakuhitaji.

Mara utakapo pona tunahitaji tamko Kali sana zaidi ya hili LA sasa kwa woote waliotaka kudhuru afya yako na wote walionyuma ya mchezo huu mchafu. Usikae kimya kama Ulimboka na yule Mhariri

Mungu akulinde na akuponye uwanyooshe viongozi wanafiki. Vizazi na vizazi vitakumbuka mchango wako kwa taifa hili...
 
"Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu
hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya
nchi. Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi,
Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona
Mungu; Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na
macho yangu yatamtazama, wala si mwingine.
Mtima wangu unazimia ndani yangu!" (Ayubu
19:25-27).
 
Naombeni mnijuze wadau, kutakua na ibada leo kwa mchungaji wa kimwili aliegeukiw na malaika wakaanza kumcha, tp gwajima?
 
Eeh Askofu Gwajima pole kwa masaibu yaliyo kupata. Naamini Mungu yupo nawe na utapona maana kazi yake bado hujaimaliza na taifa linakuhitaji.

Mara utakapo pona tunahitaji tamko Kali sana zaidi ya hili LA sasa kwa woote waliotaka kudhuru afya yako na wote walionyuma ya mchezo huu mchafu. Usikae kimya kama Ulimboka na yule Mhariri

Mungu akulinde na akuponye uwanyooshe viongozi wanafiki. Vizazi na vizazi vitakumbuka mchango wako kwa taifa hili...

Ajiulize kwanini wenzake akina Ulimboka walikaa kimya baada ya kupona. Akina Ulimboka sio wajinga
 
Hata asipotoa tamko, mtu yoyote mwenye akili timamu amejua episode hii niya kova. hii nchi imekuwa ya ajabu sana siku hizi, barabara tuwaogope wa bodaboda(boxer), sehemu za salama wao wamekuwa silent killer, loh!! siku nikiitwa polisi nawaomba wanihojie nje, kha!
 
Hata asipotoa tamko, mtu yoyote mwenye akili timamu amejua episode hii niya kova. hii nchi imekuwa ya ajabu sana siku hizi, barabara tuwaogope wa bodaboda(boxer), sehemu za salama wao wamekuwa silent killer, loh!! siku nikiitwa polisi nawaomba wanihojie nje, kha!

...mahali tulipo paona kimbilio la usalama sasa si hivyo tena, unaenda kwa miguu yako na gari lako ukitokea nyumbani kwako unarudi umebebwa kwa gari LA ambulance na unapelekwa ICU badala ya nyumbani...lol...!!!??
 
...mahali tulipo paona kimbilio la usalama sasa si hivyo tena, unaenda kwa miguu yako na gari lako ukitokea nyumbani kwako unarudi umebebwa kwa gari LA ambulance na unapelekwa ICU badala ya nyumbani...lol...!!!??


Yaani hiki ki nchi kama kimerogwa, hakuna usalama tena, itafika wakati watz tutaogopa hata vivuli vyetu Aisee.
 
Eeh Askofu Gwajima pole kwa masaibu yaliyo kupata. Naamini Mungu yupo nawe na utapona maana kazi yake bado hujaimaliza na taifa linakuhitaji.
Taifa Lipi? ?

Mara utakapo pona tunahitaji tamko Kali sana zaidi ya hili LA sasa kwa woote waliotaka kudhuru afya yako na wote walionyuma ya mchezo huu mchafu. Usikae kimya kama Ulimboka na yule Mhariri

Hahahhhhhaaaaaa when u use only 10% of your brain

Mungu akulinde na akuponye uwanyooshe viongozi wanafiki. Vizazi na vizazi vitakumbuka mchango wako kwa taifa hili...

Hakuna kitu.... Tuliza Pressure
 
Taifa Lipi? ?



Hahahhhhhaaaaaa when u use only 10% of your brain



Hakuna kitu.... Tuliza Pressure

...bhahhaaaa ! taifa la Tz na dunia inamuhitaji sana, huwezi kujua maana unaishi Jana, nakusihi tuliza kipele mara baada ya siku chache kitakunwa tu....
 
...bhahhaaaa ! taifa la Tz na dunia inamuhitaji sana, huwezi kujua maana unaishi Jana, nakusihi tuliza kipele mara baada ya siku chache kitakunwa tu....


Yaani mnaona polisi kumtenda tu. Mnasahau alivyisema hamna wa kumfanya chochote akidharau mamlaka za kikatiba kama bunge, mahakama na polisi nk. Sasa iweje sasa polisi wamtende? Mnakumbuka tu kumsema pengo lakini hamkumbuki alisema kunamtu Pengo anampigia debe mkajiuliza ni nani and why? Kwenye maelezo yake arusha amemtaja pinda hayo hatuoni bali tunaona amedhuriwa na polisi. Polisi wakudhuru uzimie badala ya kufariki? Ingawa simuombei mtu afariki kihivyo, lakini tuache kuchezea amani ya nchi yetu kwa visingizio vya ajabu

Alafu mtu anasema movie ya kova. Unataka kuniambia kova alimshauri aseme hayo maneno yake anayosema ametoa kwenye bibilia sijui ya wapi ili amkamate? Kova angetaka kumdaka Gwajima nahitaji kusubiri muujiza au ni kutuma vijana tu wanamleta? Hebu tufikirie mara mbili jamani. Watu wengi siku hizi wakiwemo wanasiasa, mashehe, mapadre, masista, wachungaji, manabii na mitume wanatumia nafasi zao na ushawishi wao kwa vikundi vyao kufanya uhalifu na mambo mengine kama hayo sasa inapotokea ameenda polisi akiona yatabumburuka ndiyo kujidai amezimia ili kesho awarudie kwa mengine. Hamna huruma kwenye sheria.

Nakumbuka Gadafi alikamata Watawa wa kikatoliki waliopandikiza watoto virusi vya ukimwi yakasemwa mengi sana lakini mwishowe serikali ya wazungu hao ililipa faini kubwa sana kwa familia. Wapo wachungaji waliotajwa kwenye unga nk Sasa mtu anavyokuja na speculations na conspiracy za ajabuajabu hapa namshangaa sana.

Mtu akiuliza who is Gwajima by the way? auwawe ana madhara gani kwa nchi hii? Kutafuta sifa tu hamna la ziada. Ni kama alivyokuja Slaa na issue kwamba mlinzi wake alitaka kumuuwa akishirikiana na usalama wa taifa na ccm kumbe kutafuta umaarufu. Slaa atake kuwekewa sumu watu wasiandamane hadi kupata ukweli? akaenda polisi kwa kuitwa kuhojiwa akadanganya alipeleka shauri polisi, Dah siasa bana.
 
Back
Top Bottom