Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
"Ni muhimu vyombo vya dola kwa maana ya Jeshi la wananchi, usalama wa taifa, jeshi la uhamiaji, polisi, jeshi la magereza na mengine yote yanabidi yaweze kujitegemea, ambao awawezi kuondolewa na mwenyekiti wa chama au rais". -Amesema Askofu Gwajima
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!