Askofu Gwajima: Ni muhimu vyombo vya dola kujitegemea, ambao awawezi kuondolewa na mwenyekiti wa chama na rais

Askofu Gwajima: Ni muhimu vyombo vya dola kujitegemea, ambao awawezi kuondolewa na mwenyekiti wa chama na rais

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
"Ni muhimu vyombo vya dola kwa maana ya Jeshi la wananchi, usalama wa taifa, jeshi la uhamiaji, polisi, jeshi la magereza na mengine yote yanabidi yaweze kujitegemea, ambao awawezi kuondolewa na mwenyekiti wa chama au rais". -Amesema Askofu Gwajima

Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!


 
Back
Top Bottom