Mods wa jf unawafahamu wote?Bahati nzuri tu ni kwamba MODS wa JamiiForums wana Akili sana na hawana Upumbavu wa Kurithishwa ulionao na ambao ndiyo unakutesa kama siyo Kukusumbua.
Absolute Nonsense... !!!Mods wa jf unawafahamu wote?
Juzi Juzi waziri wa habari alitembelea ofisi za jf unafahamu walijadili nini a to z?
Wamiliki wa hii jf unawafahamu wote? Unafikiri watakuwa tayari kuona mtanzania mwenzao anayetetea uhai wa watu wake wakiwemo hawa Wamiliki wa jf anatolewa uhai kwa lugha za kujidai hadharani kabisa namna hii?
Bado Gwajima hajafaAbsolute Nonsense... !!!
Rubbish...!!!!Bado Gwajima hajafa
Na hata akifa na wewe siku yako ya kufa ipo
Kumuua Gwajima haina maana wewe utaishi milele
Na kumuua Gwajima ndiyo kutaongeza ufahamu wa waTanzania kuhusu hiyo michanjo yenu
Na mpaka sasa hata baada ya Magufuli kufa bado waTanzania wengi hawana muda na michanjo yenu
Mchango mzuri fikirishi kwa mightierMods wa jf unawafahamu wote?
Juzi Juzi waziri wa habari alitembelea ofisi za jf unafahamu walijadili nini a to z?
Wamiliki wa hii jf unawafahamu wote? Unafikiri watakuwa tayari kuona mtanzania mwenzao anayetetea uhai wa watu wake wakiwemo hawa Wamiliki wa jf anatolewa uhai kwa lugha za kujidai hadharani kabisa namna hii?
usiyakuze kiswahili wewe! D.state kitu gani bongo! Gwajima alifanya safi sana aliwapiga ndefu kisaikolojia! alijua fika kuwa kiti wala mic hazina kitu kibaya ila alitaka wao na Dunia wajue kupitia camera zile kuwa Bongo hawaaminiki! waliua kwa kutumia vitukm hivo!Cheza na Wote tu, ila siyo Deep State.