Askofu Gwajima na siasa za ukabila, unafiki, uzandiki na jitihada za kuligawa taifa kwa mwamvuli wa dini

Askofu Gwajima na siasa za ukabila, unafiki, uzandiki na jitihada za kuligawa taifa kwa mwamvuli wa dini

Egnecious

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
894
Reaction score
994
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
 
Kwamba maovu haya yalikuwepo huko nyuma na eti Gwajima hakuyakemea haiondoi uhalali wa Gwajima kuyasema sasa

Two wrongs never make a right..

Kuna vitu vya msingi sana ameviongelea na ungekuwa mhanga japo kiduchu tu wa hayo maovu, ungemwelewa Gwajima
 
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
Hadi mpasuke ubongo mwaka huu.
 
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
Taifa ligawike Mara ngapi???
 
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
Kwahiyo kama hakuwahi kufanya kabla haruhusiwi kufanya sasa?
 
Ukutumia chat gpt kuandika hivi andika kifupi sio kukopy tu na kupaste
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
 
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
Upuuzi mtupu,yaani mgawanye Taifa wenyewe halafu umsingizie Gwajima?

Jobuni how ja za Gwajima acheni ujinga

Mjona moipobomoa kanisa Pana msikiti,Kwann huo misikiti nao haujabomolewa ?

Tar 23 wanamaliza novena halafu Mzee baba anarudi kumaliza kazi ๐Ÿ˜€
 
Gwajima ni wa kupongezwa maana wazee wenyewe wa ccm wamekimbia na hawana la kusema.

Hoja za gwajima na za Mwandishi mwandamizi Bollen Ngeti zinahitaji kuchukuliwa na kufanyiwa kazi. Juo ndio uongozi kusikiliza hoja usizozipenda lakini zina maslahi kwa taifa.

Kwa haya yakiendelea kunyamaziwa naona hatari kubwa ya nchi yetu kutokuwa kisiwa cha amani. Sehemu salama kwa uwekezaji.wenye tija sio wa.kitapeli wa wachina.

Na pattern ukiifuatilia kwa mbali yawezekana ndugu zetu wakenya wakaungana na.wasiotupenda kutuhujumu.kwa njia.mbalimbali muelekeo huo upo.
 
๐Ÿšจ๐†๐ฐ๐š๐ฃ๐ข๐ฆ๐š ๐ง๐š ๐ฌ๐ข๐š๐ฌ๐š ๐ณ๐š ๐”๐ค๐š๐›๐ข๐ฅ๐š, ๐”๐ง๐š๐Ÿ๐ข๐ค๐ข, ๐”๐ณ๐š๐ง๐๐ข๐ค๐ข ๐ง๐š ๐‰๐ข๐ญ๐ข๐ก๐š๐๐š ๐ณ๐š ๐Š๐ฎ๐ฅ๐ข๐ ๐š๐ฐ๐š ๐“๐š๐ข๐Ÿ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ฆ๐ฏ๐ฎ๐ฅ๐ข ๐ฐ๐š ๐ƒ๐ข๐ง๐ข.

๐Ÿ‘‰Hivi punde, Kupita ukurasa wake katika mtandao ya YouTube, Mchungaji Josephat Gwajima, kama ilivyo ada yake, amezungumza tena na umma wa Watanzania, hotuba ambayo kwangu binafsi, haileti mwanga kwa Taifa mbeleni, bali kiza kinene kilichojaa udini, ukabila, unafiki na hatari ya kuligawa Taifa.

๐Ÿ‘‰Gwajima amejaribu kuonesha taswira kuwa Taifa lipo njia panda na kwamba CCM itaanguka endapo haitamsikiliza yeye kuelekea Uchaguzi Mkuu. Ameitaja serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa shutuma mbalimbali, ikiwemo madai ya mauaji, utekaji, kufungiwa makanisa na hata kumtaja Tundu Lissu kama mhanga wa dhuluma.

๐Ÿ‘‰Hata hivyo, hoja zake si ngeni kwa masikio ya Watanzania, na kama zilivyo mara nyingi, zimejaa upotoshaji, unafiki wa kisiasa na ajenda binafsi hatarishi kwa mshikamano wa taifa.

๐Ÿ”ด๐‘๐‘–๐‘ก๐‘Ž๐‘Ž๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘’๐‘™๐‘’๐‘ง๐‘Ž โ„Ž๐‘Ž๐‘๐‘Ž ๐‘˜๐‘ค๐‘Ž๐‘›๐‘–๐‘›๐‘– ๐บ๐‘ค๐‘Ž๐‘—๐‘–๐‘š๐‘Ž ๐‘›๐‘– ๐‘š๐‘›๐‘Ž๐‘“๐‘–๐‘˜๐‘–. ๐น๐‘ข๐‘Ž๐‘ก๐‘Ž๐‘›๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘š๐‘–..๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Leo hii Gwajima anajitokeza hadharani akilalamikia kufungwa kwa makanisa kana kwamba hili limeanza chini ya Rais Samia.??

Ukweli ni kuwa makanisa yalifungwa hata wakati wa Rais John Pombe Magufuli, kipindi ambacho Gwajima alikuwa Mbunge wa CCM kupitia Jimbo la Kawe;

โ›ช๏ธKanisa la EAGT Arusha Road Dodoma lilifungwa. โ›ช๏ธAssemblies of God Morogoro ilisitisha ibada kwa maelekezo ya serikali, na makanisa kadhaa Dar es Salaam yalifungwa kwa sababu za kisheria na kiutawala.

๐Ÿ‘‰Gwajima hakusema chochote wakati huo, hakuandaa hotuba ya YouTube, hakuandamana na hakuwa msemaji wa ukristo kama anavyojionyesha leo. Ukimya huo unathibitisha kuwa msimamo wake wa sasa si wa kweli bali ni silaha ya kisiasa dhidi ya Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Kuhusu Tundu Lissu, Gwajima anataka umma uamini kuwa Lissu anaonewa leo.

๐Ÿ‘‰Lakini tukio la kupigwa risasi kwa Lissu lilitokea mwaka 2017, wakati wa utawala wa Magufuli, na Gwajima akiwa ndani ya Bunge. Hakuinua sauti wala kuonyesha mshikamano wa kibinadamu.

๐Ÿ‘‰Leo anajifanya mtetezi wa Lissu si kwa sababu ana uchungu wa dhati, bali kwa sababu jina hilo ni rahisi kulitumia kama nyenzo ya kumshambulia Rais Samia.

๐Ÿ‘‰Isitoshe, kauli yake kwamba wakristo nchi nzima wasimpigie kura Rais Samia ni sumu ya mbaya kwa mshikamano wa Taifa. Misingi ya nchi yetu imejengwa juu ya mshikamano wa umoja, na historia ya dunia imejaa mifano ya mataifa yaliyoporomoka kutokana na siasa za udini, kama vile Sudan na Nigeria, ambako uchaguzi unageuka kuwa uwanja wa kugombania imani badala ya sera na maendeleo.

๐Ÿ‘‰Hoja ya Gwajima inaibua hofu kwamba chuki zake zinachochewa na ukweli kuwa Rais Samia ni Muislamu, jambo linaloonyesha wazi nia ya kuingiza mgawanyiko wa kidini kwenye siasa za Tanzania. Hili si jambo la mzaha; ni hatari inayoweza kuharibu amani na mshikamano tulioujenga kwa miongo mingi.

๐Ÿ‘‰Gwajima pia ametumia hoja za marekebisho ya sheria za uchaguzi, akitaka CCM ifanye kile anachokiita โ€œminimal reformsโ€ ambayo mengi yanabebwa na madai ya CHADEMA ya "No Reform No Election".

๐Ÿ‘‰Ukweli ni kwamba madai haya yalianza zamani, kabla ya Rais Samia kuingia madarakani. Kipindi cha Magufuli, madai haya yalikuwepo lakini Gwajima hakuwahi kuyaunga mkono. Kauli yake ya leo haina uhalisia wa kiitikadi bali inalenga kudhoofisha CCM chini ya uongozi wa Samia.

๐Ÿ‘‰Kwa upande mwingine, hoja yake kwamba CCM iko hatarini kuanguka inapingwa na takwimu na uhalisia wa kisiasa. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 13 na mashina zaidi ya laki mbili kote nchini. Ni chama kilichojijenga kwa sera imara, mtandao mpana na historia ya ushindi wa kudumu. Kwa nguvu hii, ushindi wa CCM si swali la kama, bali ni suala la lini.

๐Ÿ‘‰Kama haitoshi, kwanini nimediriki kusema Gwajima ni Mnafiki na muongo, Gwajima mwenyewe amewahi kutamka hadharani kwamba kazi yake ya uchungaji ni kubwa kuliko urais au ubunge, na kwamba hawezi kugombea nafasi hizo.

๐Ÿ‘‰Lakini haikupita muda akajitosa kugombea ubunge na kushinda, akisaidiwa na ukaribu wake wa kikabila na Rais Magufuli. Tukio hili linaonyesha tabia ya kutokuwa na msimamo na mtu anayefuta mkumbo wa kisiasa.

๐Ÿ‘‰Gwajima sio mtu wa kuaminika, historia yake binafsi imejaa tuhuma za kimaadili, ikiwemo madai ya kushiriki ngono na mfuasi wake wa kanisani. Hii ni doa kubwa kwa mtu anayejionyesha kama kiongozi wa kiroho na maadili. Ni unafiki mkubwa kuhubiri uadilifu hadharani huku mwenyewe ukipuuza misingi yake.

๐Ÿ‘‰Hotuba ya Gwajima haijengi taifa. Ni jaribio la kupandikiza chuki za kidini. Tanzania haiwezi kurudi nyuma katika mshikamano na amani yake kwa sababu ya kauli za mtu mmoja anayetanguliza maslahi binafsi mbele ya maslahi ya taifa.

๐Ÿ‘‰Rais Samia Suluhu Hassan na CCM wamesimama imara kwa mshikamano na maridhiano, na kauli za kijinga kama za Gwajima ni kelele za kisiasa zisizo na msingi mbele ya historia na mustakabali wa nchi yetu.
CCM inayoanguka ni hii ya jimbo moja kuwa na wagombea zaidi ya 40? Hilo tapeli na uchambuzi wapi na wapi? CCM ni jabali mtu moja au watu wachache hawawezi kulitingisha, wanajisumbua bure. Halafu ni mwehu wa aina gani anaweza kumsikiliza na kumzingatia hilo tapeli? Ajitathmini upya
 
W
Gwajima ni wa kupongezwa maana wazee wenyewe wa ccm wamekimbia na hawana la kusema.

Hoja za gwajima na za Mwandishi mwandamizi Bollen Ngeti zinahitaji kuchukuliwa na kufanyiwa kazi. Juo ndio uongozi kusikiliza hoja usizozipenda lakini zina maslahi kwa taifa.

Kwa haya yakiendelea kunyamaziwa naona hatari kubwa ya nchi yetu kutokuwa kisiwa cha amani. Sehemu salama kwa uwekezaji.wenye tija sio wa.kitapeli wa wachina.

Na pattern ukiifuatilia kwa mbali yawezekana ndugu zetu wakenya wakaungana na.wasiotupenda kutuhujumu.kwa njia.mbalimbali muelekeo huo upo.
e we ni mwehu km yeye
 
Back
Top Bottom