Askofu Gwajima Live leo Saa tatu Usiku....

Askofu Gwajima Live leo Saa tatu Usiku....

kitumbotala

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
516
Reaction score
625
Wakuu habari za mchana, mbali na ufafanuzi alioutoa leo Askofu Gwajima kanisani kwake, juu ya sakata la tuhuma alizopewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambazo zimethibitishwa na mkemia Mkuu kuwa ni za Uongo, ameyafafanua hayo leo, na pia atakuwa LIVE mubasharaaaa..... tena leo saa Tatu Usiku ......
akimwaga cheche, hope atayasema yale yote ya moyoni.
jana nilimshauri makonda hapa JF ampigie simu wayamalize lakini...sijui kama aliipata taarifa yangu..ila kama hakuipata naomba aambiwe ili amuombe msamaha kabisa hayo mambo yaishe japo kamuaibisha sana na sijui atamsafishaje ......HAKIKA MALIPO YA HII TUHUMA NI KUBWA SANA.
aliye karibu amshauri MAKONDA aende kanisani Ufufuo na Uzima akawaombe msamaha waumini wake wote na yeye.

taarifa nitaziweka hapa jamvini.
 
Sasa atakuwa mubashara kupitia kituo gani cha tv na radio?? hebu fafanua
 
Huyu jamaa anapenda vituo.. Jana alikuwa kituo cha polisi hajaridhika leo tena asubuhi alikuwa kwenye kituo chake cha maombi hajachoka na baadaye tena atakuwa kwenye kituo cha Tv! Mwambieni aende nyumbani akapumzike.. Kiki aliyoipata inamtosha...
 
Wakuu habari za mchana, mbali na ufafanuzi alioutoa leo Askofu Gwajima kanisani kwake, juu ya sakata la tuhuma alizopewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambazo zimethibitishwa na mkemia Mkuu kuwa ni za Uongo, ameyafafanua hayo leo, na pia atakuwa LIVE mubasharaaaa..... tena leo saa Tatu Usiku ......
akimwaga cheche, hope atayasema yale yote ya moyoni.
jana nilimshauri makonda hapa JF ampigie simu wayamalize lakini...sijui kama aliipata taarifa yangu..ila kama hakuipata naomba aambiwe ili amuombe msamaha kabisa hayo mambo yaishe japo kamuaibisha sana na sijui atamsafishaje ......HAKIKA MALIPO YA HII TUHUMA NI KUBWA SANA.
aliye karibu amshauri MAKONDA aende kanisani Ufufuo na Uzima akawaombe msamaha waumini wake wote na yeye.

taarifa nitaziweka hapa jamvini.
Atakuwa live home kwenu au wapi
 
Wakuu habari za mchana, mbali na ufafanuzi alioutoa leo Askofu Gwajima kanisani kwake, juu ya sakata la tuhuma alizopewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambazo zimethibitishwa na mkemia Mkuu kuwa ni za Uongo, ameyafafanua hayo leo, na pia atakuwa LIVE mubasharaaaa..... tena leo saa Tatu Usiku ......
akimwaga cheche, hope atayasema yale yote ya moyoni.
jana nilimshauri makonda hapa JF ampigie simu wayamalize lakini...sijui kama aliipata taarifa yangu..ila kama hakuipata naomba aambiwe ili amuombe msamaha kabisa hayo mambo yaishe japo kamuaibisha sana na sijui atamsafishaje ......HAKIKA MALIPO YA HII TUHUMA NI KUBWA SANA.
aliye karibu amshauri MAKONDA aende kanisani Ufufuo na Uzima akawaombe msamaha waumini wake wote na yeye.

taarifa nitaziweka hapa jamvini.
LIVE MUBASHARA......................................
 
Huna uhakika TV gani funga bakuli lako ujinga Hui peleka ukweni nyambafu!!!
 
Wakuu habari za mchana, mbali na ufafanuzi alioutoa leo Askofu Gwajima kanisani kwake, juu ya sakata la tuhuma alizopewa na Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ambazo zimethibitishwa na mkemia Mkuu kuwa ni za Uongo, ameyafafanua hayo leo, na pia atakuwa LIVE mubasharaaaa..... tena leo saa Tatu Usiku ......
akimwaga cheche, hope atayasema yale yote ya moyoni.
jana nilimshauri makonda hapa JF ampigie simu wayamalize lakini...sijui kama aliipata taarifa yangu..ila kama hakuipata naomba aambiwe ili amuombe msamaha kabisa hayo mambo yaishe japo kamuaibisha sana na sijui atamsafishaje ......HAKIKA MALIPO YA HII TUHUMA NI KUBWA SANA.
aliye karibu amshauri MAKONDA aende kanisani Ufufuo na Uzima akawaombe msamaha waumini wake wote na yeye.

taarifa nitaziweka hapa jamvini.
Live kutoka Tv gani au radio gani?
 
Back
Top Bottom