Askofu Bagonza: Tuna taifa linaloumwa lakini halijui kama linaumwa

Askofu Bagonza: Tuna taifa linaloumwa lakini halijui kama linaumwa

ChekoFagia

Senior Member
Joined
Sep 20, 2025
Posts
115
Reaction score
339
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), anayesimamia Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, Tuna taifa linaloumwa lakini halijui kama linaumwa .

"Ni vema tukafanya haraka kulitibu taifa kabla halijajitambua kama linaumwa, sasa linaumwa lakini halijui kama linaumwa, siku likitambua linaumwa nguvu zote zinaisha". Askofu Bagonza
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), anayesimamia Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, Tuna taifa linaloumwa lakini halijui kama linaumwa .

"Ni vema tukafanya haraka kulitibu taifa kabla halijajitambua kama linaumwa, sasa linaumwa lakini halijui kama linaumwa, siku likitambua linaumwa nguvu zote zinaisha". Askofu Bagonza
kalikawe akiwa anafanya ngono na vibinti vya waamini wake ofisini kwake hua anajua kama watu hawaju kumbe wanajua fika hiyo chafu yake.

akiwa madhababuni utadani ni mdogo wake yesu kumbe fuska fulani tu hivi :HAhaa:
 
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), anayesimamia Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, Tuna taifa linaloumwa lakini halijui kama linaumwa .

"Ni vema tukafanya haraka kulitibu taifa kabla halijajitambua kama linaumwa, sasa linaumwa lakini halijui kama linaumwa, siku likitambua linaumwa nguvu zote zinaisha". Askofu Bagonza
Neno la Kristo
 
Back
Top Bottom