GE2025 Askofu Bagonza: Kiburi cha madaraka kinaleta uharibifu, hakileti ustawi

GE2025 Askofu Bagonza: Kiburi cha madaraka kinaleta uharibifu, hakileti ustawi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Askofu Bagonza ameeleza kuwa waamini wanapaswa kuomba ili taifa lipate viongozi wen hekima kuliko wenye kiburi cha madaraka

"Tuombee hekima kuliko kiburi cha madaraka ambacho kiburi cha madaraka kinaleta uharibifu hakileti ustawi wa wati wake" - Askofu Bagonza
 
[I]Na ndicho kinachotokea wakati huu. Ubabe mwingi usio na ulazima![/I]
 
Back
Top Bottom