negotiator nodegi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 403
- 127
Kila mtu asimame katika nafasi yake Hongera sana Baba Askofu kwa kusimama katika nafasi yako kuwapa ukweli hawa wanaofikiri wameshushwa wapo kwa ajili ya kuhukumu wananchi badala ya kuonesha njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app