Askofu Ashutumiwa kubaka huko Mwanza

Askofu Ashutumiwa kubaka huko Mwanza

Status
Not open for further replies.

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,023
Reaction score
13,370
Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Avangelism ,Edson Mwombeki(42) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi mwenye miaka 16.

Mwanafunzi huyo alikwenda nyumbani kwa Askofu kujisomea pamoja na binti wa Mwombeki.

credt:Mwananchi.
 
Yale yaleeee ya Flora na Gwajima staili. Na wengineo kibaoooo wanakula kondoo wa makanisa yao.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Askofu wa Kanisa la Tanzania Field Avangelism ,Edson Mwombeki(42) amefikishwa mahakamani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi mwenye miaka 16.

Mwanafunzi huyo alikwenda nyumbani kwa Askofu kujisomea pamoja na binti wa Mwombeki.

credt:Mwananchi.

Ndio kazi yao hao wazee wa saadaka
 
Mungu atunusuru kwaa maana hawa wachungaji wa kuwaangalia kwa macho wanatisha ni wafuasi wa pepo
Mungu atupe macho ya rohoni
 
hivi ameshindwa kwenda maeneo ya kirumba pale usiku
 
Hivi wewe mtoa mada una droo attention ya watu eti ! Askofu , uaskofu kapewa nanani au mtu akijivutia mabangi yake mtaani na kujiaata askofu na ninyi mnasema askofu? uaskofu una hehima zake na taratibu zake za kusimikwa. Kwa yali makanisa yaiotoroka ROMAN CATHOLIC na kwenda kujianzishia vikanisa vyao wakasahau kubeba sylubus ya namna ya kuandaa viongozi wakanisa warudi wakampigie magoti PAPA au askofu wa mahala husika. Tofauti na hapo watu watakuwa wanajitundika majina makubwa ambayao hawajasomea wala kusimikwa na kuishia kuchafua majina ya watu waliorasimishwa
 
Tunashukuru kwa habari hii.Lakini,kichwa cha habari kingekuwa "Askofu atuhumiwa/ashtakiwa kwa kubaka" ili kulinda maadili ya uandishi wa habari. Jinsi ilivyo,ni kama kesi imeshakwisha na mshtakiwa ametiwa hatiani na kuhukumiwa.

Mmmmmmh ! Unadhani wanamsingizia sio ? Ili kiwe nini ? Mtu mzima kama huyoo . Tuhuma tu peke yake ni tatizo kubwaaa, achilia mbali kitendo husika.
 
Utashtuka mpaka roho ziwatoke nyie.


Ehhh MUNGU, Hawa makafiri wanamaliza watu kwa kubaka.

Wapige radi wafe wote MASHETANI HAWA.

NA wapambe wao kina 2013 Ishmael Nyakageni jMali matumbo mgen na wanaotetea laana hii kila kukicha!

kwa comment hz lazima allah akupe thawabu zaid mwezi mtukufu wa rama.. jazakalahuh al akhiy


Hao ndio Mashetani waliotumwa KUMALIZA WATU.

Hivi VIONGOZI WA WAKRISTO wataacha lini KUBAKA?

Mbwa kabisa huu.

Hawa ni kunyonga tu.




Hii IMANI NI MAJANGA TU.
Bora Serikali IPIGE MARUFUKU Mashetani hawa wasiendelee kubaka watoto




Huyo ni MFUASI WA YESU WA MSALABANI.

We hushangai wale Makafiri wote hawamo humu kuja kuleta porojo zao!

Wameshaona mwenzao kabaka wao wanashangilia kimya kimya.

Mbwa kabisa Hawa wabakaji.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom