ASKARI wawili wa jeshi la wanyama poli wameuawa jana jioni baada ya kupigwa na wananchi wa kijiji cha Nyamonge kata ya Runzewe wilayani Bukombe baada ya kuzaniwa kuwa ni majambazi.
Baada ya askari hao kuuawa pikipiki waliyokuwa nayo iliteketezwa kwa moto. Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio wananchi waliwatilia mashaka askari hao baada ya askari wanne wakiwa na pikipiki kufuka kijijini hapo wakiwa na silaha na baadae kuondoka.
Baada ya askari hao kuondoka muda kitambo askari wawili walirejea kijijini hapo wakiwa na pikipiki moja bila siraha na ndipo wananchi walipowaweka chini ya urizi na kuanza kuwashambulia.
Mkuu wa wilaya ya Bukombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo amethibitisha kuuawa kwa askari hao.
Baada ya askari hao kuuawa pikipiki waliyokuwa nayo iliteketezwa kwa moto. Kwa mujibu wa taarifa kutoka eneo la tukio wananchi waliwatilia mashaka askari hao baada ya askari wanne wakiwa na pikipiki kufuka kijijini hapo wakiwa na silaha na baadae kuondoka.
Baada ya askari hao kuondoka muda kitambo askari wawili walirejea kijijini hapo wakiwa na pikipiki moja bila siraha na ndipo wananchi walipowaweka chini ya urizi na kuanza kuwashambulia.
Mkuu wa wilaya ya Bukombe ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilayani humo amethibitisha kuuawa kwa askari hao.