Hamna kitu Kama kicho...man to man show hawana lolote, sema wakiwa na vitendea kazi na wako wengi ndio balaaAcha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
Kashindwa kuchukua kavideo 😏
Ningeshangaa kukosa hapa hizi ndizo nyuzi zako ngoja wapenda league wenzio makuruta, ma mic na ma pot wafike muanze ubishiAcha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
Aisee kweli Leo nimekubali,mijamaa ilikuwa inavuma mithili ya jiwe la kombeoaskari magereza lazima wawe vizuri think watu walioshindikana huku mtaani wao ndio wanaishi nao, unategemea watakuwa ni watu wa mchezo mchezo
naskia hao magereza wanatoa vodochi sio vya mchezo mchezopolisi juzi waliwakimbia
Wapi huko?? Xaxa kumbe askari hawapendaninaskia hao magereza wanatoa vodochi sio vya mchezo mchezopolisi juzi waliwakimbia
Ingenogesha uziAhahahah hata picha tu kashindwa
Ingenogesha uzi
Labda kwasababu hakupenda tukio ndio mana hakuchukua picha
Nilikuwa na ki techno changu kdg nkaona uvivu kuchukua picha,,ila nimepata raha kuona ngumi za makamanda,,,nilifatilia njue wale askari mag walitokea wapi fasta vile aisee walichafua hali ya hewaPicha hukupiga? Au na wewe umehadithiwa?
Mimi mwenyewe nishawahi mpopoa mmojaHamna kitu Kama kicho...man to man show hawana lolote, sema wakiwa na vitendea kazi na wako wengi ndio balaa
Sio kwamba aliwaogopa wajeda?
😀😀Hahahah halafu inawezekana aliogopa kweli
Wangemuona wangemgeuzia kibao!
Wanapigika vizuri tu mkuu, wananiboaga kishenzi hii mijamaa yaani ikiwa kwenye magwanda Yao yanajiona nchi ni yaoMimi mwenyewe nishawahi mpopoa mmoja
Alitaka alete ukamanda kwa mchuchu wangu; sio kwa zile jabu nilizomlisha
Wewe ni raia huna mafunzo ya kijeshi kuwa mpoleKWANI ASKARI SIYO RAIA? hii kauli ya RAIA Siipendi kama nini!
Walikua wamevaa sare hao wajeda mkuu ?Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza
Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!
Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.
Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani
Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Ningeshangaa kukosa hapa hizi ndizo nyuzi zako ngoja wapenda league wenzio makuruta, ma mic na ma pot wafike muanze ubishi