Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

ki ukweli Mirindimo habari yako wengi hatukuielewa hasa wale wenye aleji na taarifa za Tbc 1, ungetuambia kuwa ikulu inametengua ukweli kuwa uongo. Asante Radhia umemsaidia mtoa mada kidogo kueleweka.
 
Ah, nilidhani wamekanusha kuhusu habari ya bendera yetu kupepea kwenye meli za Irani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…