Askari wa usalama barabarani Maili Moja,Kibaha

Askari wa usalama barabarani Maili Moja,Kibaha

Next time chukua video kimyakimya ambataniaha na post yako ili boss wao aone
 
Mimi nasafiri mara kwa mara na gari langu binafsi sijawahi sumbuliwa na hao traffic sababu nafuata sheria zote za barabarani


Husumbuliwi kwasababu ya id yako na si vinginevyo
 
kiboko yao ni JERRY MURO alichowafanya hawatamsahau:laser:.
 
Kama unasafiri na gari lako binafsi kwenda mikoani hakikisha una kuwa na sh 1000 kama 30 hivi za usumbufu wa traffic.

Rushwa imehalalishwa tanzania.

Nshakataa kutoa rushwa, washanikamata sana barabarani lakini hata shilingi haitoki juzijuzi walinikamata eneo flani karibu na KIA naelekea moshi ikala kwao eti mkubwa fanya basi hela ya maji si unaona jua lilivyokali! Majembe nao kariakoo wakanikamata huo mziki wangu walisambaa wote. Ukiwalegezea kweli lazima wale hela yako.
 
Nshakataa kutoa rushwa, washanikamata sana barabarani lakini hata shilingi haitoki juzijuzi walinikamata eneo flani karibu na KIA naelekea moshi ikala kwao eti mkubwa fanya basi hela ya maji si unaona jua lilivyokali! Majembe nao kariakoo wakanikamata huo mziki wangu walisambaa wote. Ukiwalegezea kweli lazima wale hela yako.

Ni kweli mkuu
 
Back
Top Bottom