Mimi nasafiri mara kwa mara na gari langu binafsi sijawahi sumbuliwa na hao traffic sababu nafuata sheria zote za barabarani
Mimi nasafiri mara kwa mara na gari langu binafsi sijawahi sumbuliwa na hao traffic sababu nafuata sheria zote za barabarani
Kama unasafiri na gari lako binafsi kwenda mikoani hakikisha una kuwa na sh 1000 kama 30 hivi za usumbufu wa traffic.
Rushwa imehalalishwa tanzania.
kiboko yao ni JERRY MURO alichowafanya hawatamsahau:laser:.
Nshakataa kutoa rushwa, washanikamata sana barabarani lakini hata shilingi haitoki juzijuzi walinikamata eneo flani karibu na KIA naelekea moshi ikala kwao eti mkubwa fanya basi hela ya maji si unaona jua lilivyokali! Majembe nao kariakoo wakanikamata huo mziki wangu walisambaa wote. Ukiwalegezea kweli lazima wale hela yako.