Askari wa Israel wazidi kupukutika. Watu wa Gaza washangaa kifaru kupigwa na bunduki za RPG

Wanauwawa kama nzige
 
Magaidi wa Israel Wapigweeee
 
Wazayuni wanazidi kutandikwa tu
Tulia upelekewe moto mpka ujue kuwa wanaume hawaoneshwi taqo. Maanina gaza inachakazwa. Waisrael ni wanyama aiseee. Yaan magaidi wanakanyagwa mpaka dunia inawaonea huruma na wanalialia kuomba huruma afu waisrael ndio kwanza wanakwambia hii haishi hawataki huruma wanataka kuifuta hamas na gaza wanachukua mazima
 
Intaneti inayotumika muda huu Gaza ni ya nani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…