Askari Magereza ajiua kwa risasi

Hii mbona haijakaa sawa! Mtu atajipigaje risasi tatu kichwani? Wajaribu kufatilia kwa karibu tukio hili - kuna walakini si bure.
 
Inategemea uneweka mapigo gani? Moja moja au mfulilizo

Sent using Jamii Forums mobile app

We unajuaje kama alikuwa ame-select full burst au single? Mkuu ni hivi: Regardless umeweka mapigo gani single au burst - kuna time lag between uvutaji trigger, firing pin kugonga kitako cha risasi, risasi kulipuka,moshi wa risasi kusukuma piston ili i-koki automatically na magazine follower kusukuma risasi nyingine kwenye chemba - zoezi linajirudia tena in terms of risasi kadhaa kwa dakika and not in micro au millseconds - ninacho taka kukifafanulia hapa ni kwamba bunduki/rifles hazifanyi kazi kwa kasi ya kufikia umeme/mawimbi ya radio, ila ubongo speed ya kufanya kazi inafikia ya umeme - ukipiga risasi ubongo basi kifo kinakuwa instant na mishipa ya fahamu inasizi kufanya kazi on the spot - hivo kidole cha mfu akiwezi kuvuta trigger bila kujali umeselect mapigo gani (single au full burst).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…