andry surlbaran
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 166
- 20
jumamosi nilitoka kwenye harusi nikapitia bar mpoja maarufu tu kawe yaitwa hipro pub wakati naingia nikapita kaunta ili kwenda msalani, nikakutana na askari mmoja tuna fahamiana wakati tunasalimiana na habari za hapa na pale (within 3 minutes) toka niingie eneo lile, ghafla nilikatwa mtama nakuangukia ma crate yaliokua pembeni na kuchanika sehemu kadha za usoni na damu ikanitapakaa mwili mzima, yule kijana namfaham ni askari , kumbe wakati nafika pale ati walikua wana quarrel a baadhi ya raia, nikainuliwa na wenzangu wakanipeleka police na kuchukua pf3, wakati nipo police wale police wa kituo cha kawe wakanilazimisha niwape chochote( wakati huo na bleed vibaya sana) nikagoma akaizuia ile pf3 mbaka nimpe kitu nikaingiza mfukoni nikatoa sh.450/= akaipokea na kunitukana, sikujali sana nikachukua bajaj kuelekea mwananyamala hospt nikapokelewa vizuri na kutibiwa nika shonwa nyuzi 4 na kuruhusiwa,.
Katika purukushani hizo nimepoteza miwani, simu, elf.47
swali
nina key evidence zoote nanimepanga kumshitaki na kijana niliekua namsalimia amenitajia jina na namba ya kikosi anachofanyia yule askari alienijeruhi. Sasa!! Je nimshitaki kwenye mahakama za ki raia au niende makao makuu ya jeshi kumshtaki( maana nimeskia wana mahakama zao)
naomba msaada!
Katika purukushani hizo nimepoteza miwani, simu, elf.47
swali
nina key evidence zoote nanimepanga kumshitaki na kijana niliekua namsalimia amenitajia jina na namba ya kikosi anachofanyia yule askari alienijeruhi. Sasa!! Je nimshitaki kwenye mahakama za ki raia au niende makao makuu ya jeshi kumshtaki( maana nimeskia wana mahakama zao)
naomba msaada!