BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,206
- 1,252
Askari wa usalama barabarani ala kipogo na wananchi wenye hasira kali baada ya kumlazimisha dereva wa roli kuondosha lori lake lilokuwa limezima injini barabarani kwa kulisukuma.
Mh CDM na siasa zao nyepesii! Hapo ccm wameusika vp??
Askari wa usalama barabarani ala kipogo na wananchi wenye hasira kali baada ya kumlazimisha dereva wa roli kuondosha lori lake lilokuwa limenock engine barabarani kwa kulisukuma.jamaa alipewa kichapo na raia wenye uwezo wa kufikiri na kumuona jamaa kilaza raia wamemsaidia dereva kwani alikuwa anaonewa.jaman hii ni hatima ya ccm.
Askari wa usalama barabarani ala kipogo na wananchi wenye hasira kali baada ya kumlazimisha dereva wa roli kuondosha lori lake lilokuwa limenock engine barabarani kwa kulisukuma.jamaa alipewa kichapo na raia wenye uwezo wa kufikiri na kumuona jamaa kilaza raia wamemsaidia dereva kwani alikuwa anaonewa.jaman hii ni hatima ya ccm.
Wewe ni janga la taifa na thinking capacity yako is too low askari kupigwa na wananchi una sema hawa maccm sasa wewe unatumia vigezo gani kumjua alokuwa chadema au cuf au ccm wacha ujinga wako au umesha vuta bangi?
I will come back to you....Ccm inahusika vipi na uvivu wa kufikiri wa huyo askari? Sielewi atii...
Hapo nami sijaelewa. Kuabudu siasa too much kunawaharibu watu.Kuna siku mtu mumewe au mkewe atatoka nje ya ndoa atasema sababu ya CCM au CDM.
I will come back to you....
Unaona Eeeeh! Sijui hapo uccm unatokea wapi? Fikra Mgando hizo!Hapo nami sijaelewa. Kuabudu siasa too much kunawaharibu watu.Kuna siku mtu mumewe au mkewe atatoka nje ya ndoa atasema sababu ya CCM au CDM.
Wewe ndio Ukikua Utaacha!Ukikua utaelewa.........
Mkuu,sio bangi tu, na viroba vilivyo expire! Sasa lile lori lingesababisha ajali hapo lilipokuwa pia wangesema ccm hao! Yani chadomo nijanga lakitaifa!:angry:Wewe ni janga la taifa na thinking capacity yako is too low askari kupigwa na wananchi una sema hawa maccm sasa wewe unatumia vigezo gani kumjua alokuwa chadema au cuf au ccm wacha ujinga wako au umesha vuta bangi?
Pinda anasemaje juu ya hili?