Askari 15 wanasurika kifo baada ya gari walilopanda kugongana na fuso

Askari 15 wanasurika kifo baada ya gari walilopanda kugongana na fuso

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
skari 15 waliopo mafunzoni katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, maarufu zamani kama CCP mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya gari walilopanda kuhusika kwenye ajali ya uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Tukio hilo lilitokea jana, Jumanne Agosti 12, 2025 katika eneo la Kwa Sadala, Wilaya ya Hai, likihusisha gari la polisi lililokuwa likitoka kambi ya jeshi la polisi wilayani Siha na lori hilo lililotokea upande wa Moshi.

Soma pia: Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala



Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Wilaya ya Hai kwa matibabu.

Alisema ajali hiyo ilitokea majira ya saa tano asubuhi, baada ya gari aina ya Landcruiser la jeshi la polisi kugongana uso kwa uso na lori la Fuso, na kusababisha majeruhi kadhaa.

RC Babu aliongeza kuwa magari hayo yalikuwa yakitokea pande tofauti; gari la polisi likitoka Bomang’ombe kuelekea mjini Moshi, likiwa limewabeba wanafunzi wa jeshi la polisi kutoka kambini, huku lori la Fuso likiwa kwenye shughuli zake za kawaida likitokea Moshi.

Alisema chanzo kamili cha ajali hiyo bado kinachunguzwa na vyombo husika.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Dk. Emmanuel Minja, amesema walipokea majeruhi 15, ambapo mmoja kati yao amepewa rufaa kwenda Hospitali ya KCMC kwa matibabu zaidi.

Alibainisha kuwa hali za majeruhi wote zinaendelea vizuri, huku baadhi yao wakishonwa majeraha na kupatiwa huduma ya kwanza haraka baada ya kufikishwa hospitalini.

Chanzo: Global online tv
 
skari 15 waliopo mafunzoni katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, maarufu zamani kama CCP mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya gari walilopanda kuhusika kwenye ajali ya uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Tukio hilo lilitokea jana, Jumanne Agosti 12, 2025 katika eneo la Kwa Sadala, Wilaya ya Hai, likihusisha gari la polisi lililokuwa likitoka kambi ya jeshi la polisi wilayani Siha na lori hilo lililotokea upande wa Moshi.

Soma pia: Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

View attachment 3439999

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Wilaya ya Hai kwa matibabu.

Alisema ajali hiyo ilitokea majira ya saa tano asubuhi, baada ya gari aina ya Landcruiser la jeshi la polisi kugongana uso kwa uso na lori la Fuso, na kusababisha majeruhi kadhaa.

RC Babu aliongeza kuwa magari hayo yalikuwa yakitokea pande tofauti; gari la polisi likitoka Bomang’ombe kuelekea mjini Moshi, likiwa limewabeba wanafunzi wa jeshi la polisi kutoka kambini, huku lori la Fuso likiwa kwenye shughuli zake za kawaida likitokea Moshi.

Alisema chanzo kamili cha ajali hiyo bado kinachunguzwa na vyombo husika.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Dk. Emmanuel Minja, amesema walipokea majeruhi 15, ambapo mmoja kati yao amepewa rufaa kwenda Hospitali ya KCMC kwa matibabu zaidi.

Alibainisha kuwa hali za majeruhi wote zinaendelea vizuri, huku baadhi yao wakishonwa majeraha na kupatiwa huduma ya kwanza haraka baada ya kufikishwa hospitalini.

Chanzo: Global online tv

Wanaandaliwa ili kusudi waje kuwa Mashetani wanaotumika katika missions zao za udhalimu za kuteka Watu, kuwatesa na kuua raia wema wasio na hatia.
Watu hao ndio kiini na chanzo kikubwa Sana Cha kuwepo kwa Migawanyiko ya kijamii katika Nchi hii kwa sasa. Nchi imeparaganyika kutokana na Uovu wa hawa Watu, Chuki kubwa sana imetamalaki katika jamii siku hizi kutokana na harakati za Operesheni za Udhalimu za kuteka Watu na kuua raia wasio na hatia, kupora Mali zao Kama ilivyofanyika kwa Wafanyabiashara wa Madini kule Mtwara, na Jijini Dsm (Kesi ya kuuawa wale Wafanyabiashara kutoka Mahenge Mkoani Morogoro na suala la Shujaa na marehemu Hamza Mohammed pale daraja la Sealander).
 
skari 15 waliopo mafunzoni katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi, maarufu zamani kama CCP mkoani Kilimanjaro, wamenusurika kifo baada ya gari walilopanda kuhusika kwenye ajali ya uso kwa uso na lori aina ya Fuso.

Tukio hilo lilitokea jana, Jumanne Agosti 12, 2025 katika eneo la Kwa Sadala, Wilaya ya Hai, likihusisha gari la polisi lililokuwa likitoka kambi ya jeshi la polisi wilayani Siha na lori hilo lililotokea upande wa Moshi.

Soma pia: Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

View attachment 3439999

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kueleza kuwa majeruhi wote wamepelekwa Hospitali ya Wilaya ya Hai kwa matibabu.

Alisema ajali hiyo ilitokea majira ya saa tano asubuhi, baada ya gari aina ya Landcruiser la jeshi la polisi kugongana uso kwa uso na lori la Fuso, na kusababisha majeruhi kadhaa.

RC Babu aliongeza kuwa magari hayo yalikuwa yakitokea pande tofauti; gari la polisi likitoka Bomang’ombe kuelekea mjini Moshi, likiwa limewabeba wanafunzi wa jeshi la polisi kutoka kambini, huku lori la Fuso likiwa kwenye shughuli zake za kawaida likitokea Moshi.

Alisema chanzo kamili cha ajali hiyo bado kinachunguzwa na vyombo husika.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Hai, Dk. Emmanuel Minja, amesema walipokea majeruhi 15, ambapo mmoja kati yao amepewa rufaa kwenda Hospitali ya KCMC kwa matibabu zaidi.

Alibainisha kuwa hali za majeruhi wote zinaendelea vizuri, huku baadhi yao wakishonwa majeraha na kupatiwa huduma ya kwanza haraka baada ya kufikishwa hospitalini.

Chanzo: Global online tv
Sasa ni kwa nini HAWAKYFARIKI?
 
Nasubiri comments za wanachadema🤣
Tambua ya kwamba, Uovu, udhalimu na Uhalifu ambao umekuwa ukifanywa na Watu hao hauchagui itikadi za Vyama, makabila, au kigezo kingine chochote kile. Hata wao kwa wao pia wamekuwa wakifanyiana Uovu, wanaolengwa zaidi na Uovu wao ni wale baadhi ya Askari Polisi wachache ambao ni Wapenda Haki na kupinga uonevu na udhalimu. Rejea tukio la Mauaji ya makusudi ya yule Mfanyabiashara wa Madini kule Mtwara, yule Askari Polisi aliyekuwa Muadilifu na aliyefichua Mauaji yake wenzake (wakubwa wake) walimkamata na kumuweka rumande kwenye Kituo Cha Polisi, na mida ya usiku yule Askari Polisi aliuawa kwa kunyongwa na kisha watekelezaji wa tukio hilo asubuhi walitoa taarifa kwa umma kwamba eti Askari Polisi huyo alijinyonga kwa dekio akiwa katika Mahabusu ya Polisi!
Ridiculous!
 
Dah! Imekuaje wakapona hawa watu..!?

Hii taarifa haijanifurahisha hata kidogo.

Najua kuna watu mtakuja na ngonjera zenu hapa,niwambie tu kama ambavyo wao wasivyo na uchungu na watu kutekwa,kuuawa na mimi sina uchungu nao.
 
Back
Top Bottom