Asilimia kubwa ya wanaozamia Dar kutafuta maisha wanafanikiwa

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Mama mmoja muuza mchicha Rafiki yangu aliwahi kuniambia. Jiji la Dar es Salaam halitaki mtu mvivu au mgonjwa. Ukishinda hapo huwezi kulala njaa.

Kuna huyu Muha na yeye akaniambia alipofika DSM alianza kuishi kwenye karavati maeneo ya external hadi alipotoboa. Leo ananyumba Kubwa tu.

DSM ndio unapatia michongo ya nchi nzima.

Huyu yeye alikuwa houseboy wa Mchungaji fulani. Leo ni graphics designer ambaye hajui hata adobe Photoshop inafananaje. Yeye anachojua nani anataka nini na yeye anahakikisha anapata solution ya anaychotaka hata kwa Kukodi designers. Haishiwi huyu mchicha.

Huyu ananiambia siku anafika DSM alitaka kulia. Kila anakopita anaona ni mahela tu yako nje nje.

Huyu alikuwa form four failure, alipokutana na wachina Leo bila digrii ni construction engineer anayesimamia matechnician na miradi mikubwa ya hao wachina bila kuharibu.

Core values za mdareslam aliyetoka kwa mujibu wa mama muuza figiri, mchicha, mnamfu, gwasi na tembere ni
1: Usiwe mvivu, amka MAPEMA.
2: Hakikisha huuguiugui. Linda afya.
3: Usiwe teketeke force mambo hadi yawe.
4: usiwe na kinyaa au aibu wala usiogope mtu.
5: uwe na utayari kufanya chochote kwa schedule yoyote.
6: usiongeeongee sana, piga kazi kimya kimya.
7: Unyumbuke, usiwe yabisi. Ukisikia kuna mchongo Mkoani kapige fasta kisha rudi kwenye bezi yako.
8: Ukitaka kutoka haraka usipitwe na habari sahihi. Achana na masiasa, ugomvi wa wanawake. Wewe hakikisha tu unafuatilia habari zinazoweza kukuvusha. Mali Mpya, chimbo jipya, semina za maana, mikutano inayokutanisha watu wengi. Pia achana na mambo ya ndugundugu sijui flani nilisoma naye huko wapi. Kuwa na tabia za kiUS yani tafuta link za kimaslahi tu.

Haipiti muda utaitwa freemanso. Maana lazima utoboe.

Vijana mnafeli nini hapo jijini...
 
Mama mmoja muuza mchicha Rafiki yangu aliwahi kuniambia. Jiji la Dar es Salaam halitaki mtu mvivu au mgonjwa. Ukishinda hapo huwezi kulala njaa.

Kuna huyu Muha na yeye akaniambia alipofika DSM alianza kuishi kwenye karavati maeneo ya external hadi alipotoboa. Leo ananyumba Kubwa tu.

DSM ndio unapatia michongo ya nchi nzima.

Huyu yeye alikuwa houseboy wa Mchungaji fulani. Leo ni graphics designer ambaye hajui hata adobe Photoshop inafananaje. Yeye anachojua nani anataka nini na yeye anahakikisha anapata solution ya anaychotaka hata kwa Kukodi designers. Haishiwi huyu mchicha.

Huyu ananiambia siku anafika DSM alitaka kulia. Kila anakopita anaona ni mahela tu yako nje nje.

Huyu alikuwa form four failure, alipokutana na wachina Leo bila digrii ni construction engineer anayesimamia matechnician na miradi mikubwa ya hao wachina bila kuharibu.

Core values za mdareslam aliyetoka kwa mujibu wa mama muuza figiri, mchicha, mnamfu, gwasi na tembere ni
1: Usiwe mvivu, amka MAPEMA.
2: Hakikisha huuguiugui. Linda afya.
3: Usiwe teketeke force mambo hadi yawe.
4: usiwe na kinyaa au aibu wala usiogope mtu.
5: uwe na utayari kufanya chochote kwa schedule yoyote.
6: usiongeeongee sana, piga kazi kimya kimya.
7: Unyumbuke, usiwe yabisi. Ukisikia kuna mchongo Mkoani kapige fasta kisha rudi kwenye bezi yako.
8: Ukitaka kutoka haraka usipitwe na habari sahihi. Achana na masiasa, ugomvi wa wanawake. Wewe hakikisha tu unafuatilia habari zinazoweza kukuvusha. Mali Mpya, chimbo jipya, semina za maana, mikutano inayokutanisha watu wengi. Pia achana na mambo ya ndugundugu sijui flani nilisoma naye huko wapi. Kuwa na tabia za kiUS yani tafuta link za kimaslahi tu.

Haipiti muda utaitwa freemanso. Maana lazima utoboe.

Vijana mnafeli nini hapo jijini...
umenipa kitu cha thamani sana MWENYEZI MUNGU akubariki nitafanyia kazi japo sipo Dar siku zote Dar salama
 
Mimi ni miongoni mwa wale tulioshindwa kuishi Dar ilikuwa chupu chupi nikose hata nauli sema machale yalinisaidia

Saa hii nina maisha japo sio kivile, ila huwezi linganisha na nilivyokuwa Dar

Japo hapa nilipo mimi naona ni pazuri ila kuna watu wanapakimbia wengine wapo Dar na wanasema hawawezi kurudi sababu huko Dar nilipokimbia wao wamefanikisha

Hapa ndo naamini MAISHA NI POPOTE huenda mimi Dar sikuwa na utayari na wao hawakuwa na utayari hapa nilipo

Usimshauri mtu kuwa sehemu fulani kuna maisha kisa wewe umetoboa
 
Pambana. Haki kisha Maneno yanakaa Nyuma ya vitendo.
nilishajaribu nikaona inafanya kazi tabu kuna mazingira nimejibweteka! wakati natoka dar nakuja dodoma nilisema lazima niwe na shamba la zabibu na ndani ya miezi mitatu nikalipata kwa shillingi 150,000/-
nilichojifunza hatutakiwi kuishi maisha ya mazoea tuone thamani ya muda katika maisha yetu. lakini pia iko tofauti ya kati ya mtu anayeinua kitanda akijua nini anakitafuta na yule anayeinua kitanda akitafuta chochote kitakachopatikana na haya ndo maisha yetu watu wengi.
wanaotoka mikoani wengi huwa angalau wana specific goal kwa hiyo kwa kila wanachofanya wanaangalia wanachotarajia kwanza.
 
Mimi ni miongoni mwa wale tulioshindwa kuishi Dar ilikuwa chupu chupi nikose hata nauli sema machale yalinisaidia

Saa hii nina maisha japo sio kivile, ila huwezi linganisha na nilivyokuwa Dar

Japo hapa nilipo mimi naona ni pazuri ila kuna watu wanapakimbia wengine wapo Dar na wanasema hawawezi kurudi sababu huko Dar nilipokimbia wao wamefanikisha

Hapa ndo naamini MAISHA NI POPOTE huenda mimi Dar sikuwa na utayari na wao hawakuwa na utayari hapa nilipo

Usimshauri mtu kuwa sehemu fulani kuna maisha kisa wewe umetoboa
80% ya watu nnaowajua marafiki wanaoishi dar wanaishi kwa kuunga unga mnooo...aku Dar ntaenda kusafisha macho kwakweli ...
 
Mama mmoja muuza mchicha Rafiki yangu aliwahi kuniambia. Jiji la Dar es Salaam halitaki mtu mvivu au mgonjwa. Ukishinda hapo huwezi kulala njaa.

Kuna huyu Muha na yeye akaniambia alipofika DSM alianza kuishi kwenye karavati maeneo ya external hadi alipotoboa. Leo ananyumba Kubwa tu.

DSM ndio unapatia michongo ya nchi nzima.

Huyu yeye alikuwa houseboy wa Mchungaji fulani. Leo ni graphics designer ambaye hajui hata adobe Photoshop inafananaje. Yeye anachojua nani anataka nini na yeye anahakikisha anapata solution ya anaychotaka hata kwa Kukodi designers. Haishiwi huyu mchicha.

Huyu ananiambia siku anafika DSM alitaka kulia. Kila anakopita anaona ni mahela tu yako nje nje.

Huyu alikuwa form four failure, alipokutana na wachina Leo bila digrii ni construction engineer anayesimamia matechnician na miradi mikubwa ya hao wachina bila kuharibu.

Core values za mdareslam aliyetoka kwa mujibu wa mama muuza figiri, mchicha, mnamfu, gwasi na tembere ni
1: Usiwe mvivu, amka MAPEMA.
2: Hakikisha huuguiugui. Linda afya.
3: Usiwe teketeke force mambo hadi yawe.
4: usiwe na kinyaa au aibu wala usiogope mtu.
5: uwe na utayari kufanya chochote kwa schedule yoyote.
6: usiongeeongee sana, piga kazi kimya kimya.
7: Unyumbuke, usiwe yabisi. Ukisikia kuna mchongo Mkoani kapige fasta kisha rudi kwenye bezi yako.
8: Ukitaka kutoka haraka usipitwe na habari sahihi. Achana na masiasa, ugomvi wa wanawake. Wewe hakikisha tu unafuatilia habari zinazoweza kukuvusha. Mali Mpya, chimbo jipya, semina za maana, mikutano inayokutanisha watu wengi. Pia achana na mambo ya ndugundugu sijui flani nilisoma naye huko wapi. Kuwa na tabia za kiUS yani tafuta link za kimaslahi tu.

Haipiti muda utaitwa freemanso. Maana lazima utoboe.

Vijana mnafeli nini hapo jijini...
Njoo dar nawewe utajirike mkuu
 
Huu ni ukweli naujua tangu zamani sana.. mara ya kwanza kuja Dar ni 2010 nilipokuja kuanza elimu ya chuo. Nilipoona watu wanauza maji barabarani na wanapata kula na kulipa kodi, nili conclude kwamba Dar ni mkoa wenye fursa za kutajirika kwa asiye mvivu.

Kwa miaka karibu saba sasa nimeshuhudia vijana wengi nnaofahamiana nao wakitoka mkoani wakiwa hawana chochote lakini leo wana maisha ya tofauti kabisa.

Ukipinga hili bandiko labda uwe sio muelewa wa utafutaji
 
Huu ni ukweli naujua tangu zamani sana.. mara ya kwanza kuja Dar ni 2010 nilipokuja kuanza elimu ya chuo. Nilipoona watu wanauza maji barabarani na wanapata kula na kulipa kodi, nili conclude kwamba Dar ni mkoa wenye fursa za kutajirika kwa asiye mvivu.

Kwa miaka karibu saba sasa nimeshuhudia vijana wengi nnaofahamiana nao wakitoka mkoani wakiwa hawana chochote lakini leo wana maisha ya tofauti kabisa.

Ukipinga hili bandiko labda uwe sio muelewa wa utafutaji
Baby! Wangari Maathai kwani uwongo? mbona umenicheka... 🤣🤣🤣
 
Maisha ni popote...
IMG-20210114-WA0000.jpg
 
Ni kweli mtoa uzi ila mm nachoamin kila kona ya Tz kuna hela n ubunifu tu na juhud za mtu binafsi niko mkoan huku na ninapga hela tu sema ni kuwa sina Aibu hta chembe ! Wazawa naona wanashangaa shangaa na kula bata mimi mfano nikipata 5000/= nakula 1500/= nasave 3500/=

Pia Point nyingine n kuwa Nabii hakubaliki kwao ndugu Wajumbe,Yan kama wewe umezaliwa huko kwenu sijui Muleba,Nangurukuru mara sijui Machame Msakuzi,Kimbia huko kwenu Piga kambi mkoa mwngine kabsa sababu hakuna kitu utaweza kukifanya watu wakaku Appriciate au kukupa kibali
 
Back
Top Bottom