Kitang'wa1
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 460
- 285
Habari za muda huu jamani.
Nina jambo huwa linanitatiza kutaka kulijua, yaweza kuwa lilishajadiliwa humu, ila binafsi sikuliona likijadiliwa humu, kama tayari basi si vibaya mkanijuza nami, hasa kwa wale wajuzi wa mambo mbali mbali.
NAPENDA KUJUA, NI KWA NINI NCHI YA AFRIKA KUSINI, HAINA JINA LAKE HALISI, JAPO TUNAJUA YA KUWA IPO KUSINI MWA AFRIKA, LAKINI NCHI ZILIZOIZUNGUKA NCHI HIYO KUSINI HUKO HUKO ZINA MAJINA YA NCHI, MFANO ZIMBABWE NA LESOTHO, ILA KWA AFRIKA KUSINI IMEBAKI HIVYO HIVYO, JAPO KUNA MAJINA KAMA YA A.K.A VILE, (kwa Madiba, Bondeni, n.k), ILA NAAMINI SIYO RASMI.
NI KWELI NCHI HIYO HAINA JINA LAKE LA ASILI?!
NAOMBA KUJULISHWA TAFADHALI.
Ahsante!
Nina jambo huwa linanitatiza kutaka kulijua, yaweza kuwa lilishajadiliwa humu, ila binafsi sikuliona likijadiliwa humu, kama tayari basi si vibaya mkanijuza nami, hasa kwa wale wajuzi wa mambo mbali mbali.
NAPENDA KUJUA, NI KWA NINI NCHI YA AFRIKA KUSINI, HAINA JINA LAKE HALISI, JAPO TUNAJUA YA KUWA IPO KUSINI MWA AFRIKA, LAKINI NCHI ZILIZOIZUNGUKA NCHI HIYO KUSINI HUKO HUKO ZINA MAJINA YA NCHI, MFANO ZIMBABWE NA LESOTHO, ILA KWA AFRIKA KUSINI IMEBAKI HIVYO HIVYO, JAPO KUNA MAJINA KAMA YA A.K.A VILE, (kwa Madiba, Bondeni, n.k), ILA NAAMINI SIYO RASMI.
NI KWELI NCHI HIYO HAINA JINA LAKE LA ASILI?!
NAOMBA KUJULISHWA TAFADHALI.
Ahsante!