Asili ya jina Kilimanjaro

Hii hata kama ni chai inaendana na uhalisia.
 
Niliwahi kusikia Kibo alone, hapa unasema Kibo only?
 
Kilema_kisichowezekana
Kyaro_safari. .....yaani hapafikiki
 

Kokwiza peke yake ikakosa eneo
 


Kabla ya wazungu wao walipaitaje
 
Kule kolomije kulikuwa na mzungu aliyeishi miaka ya nyuma aliyeitwa Jonathan, baada ya kuona wenyeji wanashindwa kutamka hilo jina kwa ufasaha, akashauri wawe wanamwita tu J.
Aliwaambia "Call me J". Eneo hilo likaitwa kwa Kolomije.
 
"ANOTHER SCHOOL OF THOUGHT" kabla ya kuja kwa dini za wageni wachagga walikuwa wanauabudu mlima huu. Kumbuka asili ya mchagga kabla ya dini walikuwa wanaabudu mawingu/anga. Akiamka asubuhi lazima atazame juu mawinguni na kushukuru . Ndio maaana ya neno " RUWA" mawingu, RUWA -MANGI ... nk.

Sasa waliamini mlima ni wa Mungu na wakawa wanauita " KILIMA (mlima) KYA (wa)RUWA (Mungu) ... "KILIMAKYARUWA".....Mzungu akashindwa kutamka akasema KILIMANJARO
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…