Asili ya jina Kilimanjaro

jina la wilaya ya Same nilisikia lilitokana na wazungu kuona sehemu zote za wilaya hiyo zinafanana ndio wazungu wakawa wanatamka kila mara neno 'same' ya kiingereza kwa maana kila mahali kunafanana, hatimaye ndio ikaitwa Same.
 
Wamakonde halichi hawa
 
Kibo alone and not kibo only
 
Weee K.I.A.Z.I kweli. Bila mzungu huwezi andika kitu. Majina yote yapo kabla ya wazumgu.
 
Serengeti ni matokeo ya wajerumani kushindwa kutamka neno la kimasai siringeti likiwa na maana sehemu tambarare mwisho wake usioonekana
 
Ha ha madogo mnatupiga virungu..ha ha
 
huyo mzungu alikuwa hajawahi kuona mlima ko ikabidi aulize eti kile ni nini????
kweli!!!!?!
 
Umetisha mkuu
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa mshana jr maeneo hayo!!
 
Ukweli ni huu: Kwa lugha ya Kichaga cha Marangu jambo likishindikana wanasema 'Kyalema' Safari moja inaitwa 'kyaro' nyingi zinaitwa 'shiaro' Wachaga wa zamani hizo walijaribu kupanda huo mlima mara kadhaa wakashindwa. Kwa hivyo wakauita ule mlima 'Kyilema Shiaro' (yaani mlima ulioshinda safari) Wazungu walipokuja wakaambiwa huo mlima unaitwa 'Kyilema Shiaro' Wakatamka 'Kilima Njiaro" wakaandika hivyo hivyo Kilimanjaro
 
Zanzibar kuna sehemu kunaitwa Bububu, asili yake kuna bubu alikuwa anaogelea mtoni wakati anaogelea akawa anazama, hivyo ikabidi aombe msaada, ndio ile kuita bu bu bu, pakaitwa ivyo
Na pale panapoitwa mchamba wima hebu tupe historia yake sheikh
 
kama kuna ukweli vile
 
Mlima Kilimanjaro ni muunganiko wa maneno mawili, ambayo ni Mlima na neno Njaro, neno njaro maana yake ni Mungu. Kabla ya ujio wa wazungu wenyeji waliokuwa kandokando ya huo mlima walikuwa wakiamka asubuhi wanageukia huko mlimani na kuutemea mate kama ishara ya kuabudu, walikuwa wanaamini ndio Mungu wao hivyo kitendo cha kuutemea mate ni ishara ya ibada ili uweze kufanikiwa. Maelezo hayo niliyapata shule ya msingi somobla histioria miaka hiyo.
 
Na pale panapoitwa mchamba wima hebu tupe historia yake sheikh
Ilikuwa ni sehemu ya jumuuya (public) penye bomba la maji watu wakioga pale mahala pa wazi. Ndio asili yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…