Super Tuesday
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 636
- 727
Wamakonde halichi hawaInasemekana kwamba katika jiji la Dar kilikuwa na mtu aliyeitwa MUSA HASSAN..huyu jamaa alikuwa mbabe sana anaogopwa balaa!..kama unavyojua jiji la dar asili yake ni kabila la wazaramo...basi yule MUSA HASSAN alikuwa anaenda mitaa flani hivi kutisha watu, wale wenyeji wa pale wakawa wanajifungia ndani huku wakiwaambia watoto wao "MWANA NYAMALA, MSASANI KOKWIZA" yaani (Mwanangu nyamaza Musa Hassan anakuja).... basi hayo maeneo yakaitwa MWANANYAMALA na kule alipokuwa akiishi MUSA HASSAN pakaitwa MSASANI.
Kuwa kenya Tanga na Arusha hakuondoi ukweli wa nilichosema.. Fikiri zaidi pia kabla ya kumpinga mtuChekereni ipo Kenya Tanga Arusha. Sasa kote huko walikuwa wachagga? Fikiri zaidi
Kibo alone and not kibo onlyKiboriloni Moshi. Hili jina limetokana na neno "Kibo Only" mzungu alifika maeneo hayo akiwa na lengo la kuona vizuri vilele vya mlima Kilimanjaro, cha ajabu aliishia kuona kilele kimoja cha Kibo pekee. Ndipo alipojikuta akiropoka Kibo only, wachaga wakajua amesema kiboroloni. Ikawa ndio jina
Singida ni neno la kibarbeig au mang'ati ISINGIDA maana yake pundamilia.Inasemekana ziwa singida kulikuako pundamilia wengi sana.Hivyo hao mang'ati walipofika wakawakuta wakinywa maji.Mzugu akashindwa kuita hao punda isingida na kuita singida mpaka leo.
Huyo mchagga???Kuwa kenya Tanga na Arusha hakuondoi ukweli wa nilichosema.. Fikiri zaidi pia kabla ya kumpinga mtu
Dah....Nawaza pale mchambawima...sijui ilikuwaje? [emoji13] [emoji13]Zanzibar kuna sehemu kunaitwa Bububu, asili yake kuna bubu alikuwa anaogelea mtoni wakati anaogelea akawa anazama, hivyo ikabidi aombe msaada, ndio ile kuita bu bu bu, pakaitwa ivyo
Sijakuelewa?Uongo. Kaulize tena inatokana na kiberenge!! Sitaki kukulisha kaulize
Umetisha mkuuInasemekana kwamba katika jiji la Dar kilikuwa na mtu aliyeitwa MUSA HASSAN..huyu jamaa alikuwa mbabe sana anaogopwa balaa!..kama unavyojua jiji la dar asili yake ni kabila la wazaramo...basi yule MUSA HASSAN alikuwa anaenda mitaa flani hivi kutisha watu, wale wenyeji wa pale wakawa wanajifungia ndani huku wakiwaambia watoto wao "MWANA NYAMALA, MSASANI KOKWIZA" yaani (Mwanangu nyamaza Musa Hassan anakuja).... basi hayo maeneo yakaitwa MWANANYAMALA na kule alipokuwa akiishi MUSA HASSAN pakaitwa MSASANI.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa mshana jr maeneo hayo!!Asili ya Chekereni. Mzungu alimwambia mchaga aangalie kama treni inakuja " Check Train" lakini kwa kuwa mchaga hakuelewa akamwambia mwenzake "anasema Chekereni" na ikawa hivo mpaka leo ndo mana Chekereni unaona kuna reli ipo pale ndio asili ya jina hilo
Na pale panapoitwa mchamba wima hebu tupe historia yake sheikhZanzibar kuna sehemu kunaitwa Bububu, asili yake kuna bubu alikuwa anaogelea mtoni wakati anaogelea akawa anazama, hivyo ikabidi aombe msaada, ndio ile kuita bu bu bu, pakaitwa ivyo
kama kuna ukweli vileUkweli ni huu: Kwa lugha ya Kichaga cha Marangu jambo likishindikana wanasema 'Kyalema' Safari moja inaitwa 'kyaro' nyingi zinaitwa 'shiaro' Wachaga wa zamani hizo walijaribu kupanda huo mlima mara kadhaa wakashindwa. Kwa hivyo wakauita ule mlima 'Kyilema Shiaro' (yaani mlima ulioshinda safari) Wazungu walipokuja wakaambiwa huo mlima unaitwa 'Kyilema Shiaro' Wakatamka 'Kilima Njiaro" wakaandika hivyo hivyo Kilimanjaro
Ilikuwa ni sehemu ya jumuuya (public) penye bomba la maji watu wakioga pale mahala pa wazi. Ndio asili yake.Na pale panapoitwa mchamba wima hebu tupe historia yake sheikh
Chekereni ya kilimanjaro ipo reli pia ya Arusha ipo.Chekereni ipo Kenya Tanga Arusha. Sasa kote huko walikuwa wachagga? Fikiri zaidi