Asili ya Dr. Yamungu Kayandabira

Asili ya Dr. Yamungu Kayandabira

Status
Not open for further replies.
Mkoa wa Kigoma kwa uvamizi wa wahamiaji haramu umeshika namba moja kila mhamiaji haramu kwao utasikia ni kigoma...wilaya ya Buhigwe hasa huko munanila ambapo ni karibu na boda ndo kabisa panatia shaka asilimia kubwa ya watu wa huko ni warundi...na manyovu kiujumla pia..na hilo jina lake ni la kirundi kabisa...

vijana ni muhimu kujikumbusha historia. ulijifunza somo la historia ili likusaidie hapo mbeleni kama wakati huu sasa. Haukujifunza somo hilo ili ufanyie maigizo. Back on the point, Mkataba wa Berlin wa kuigawa Africa ndio umesababisha haya yote. Wananchi wa mpakani kati ya nchi na nchi wafanana katika hali zote. Ni kweli ukifika Manyovu mpakani na Burundi, wananchi wa pande hizi mbili huwezi kamwe ukawatofautisha ingawa wao wanajuana. Pale manyovu, wtz wanachunga mifugo yao Burundi, chumvi ikiisha ni rahisi kumuomba jirani yake wa Burundi, pombe jioni wanakunywa kwenye bar ama ya manyovu au mumigina pale Burundi, sokoni ni chaguo lako warundi wanakuja manyovu na wtz wanaenda Burundi, wanaoa Burundi na warundi wanafanya hivyo hivyo. Hali kama hii utaikuta Mtwara, Kagera, Kyela, tunduma na Namanga.
 
mbona mwenyewe una jina lenye asili ya algeria ila unaishi confortable kabisa hapa bongo???
 
Warundi na Waha jamani ni dugu moya hiyo! Mipaka ya kikoloni isituvuruge, sasa mtu wa Munanila, Manyovu, Katanga, Muhambwe, Mabamba, Minyinya, n.k utampeleka wapi? Sioni ubaya hata kama atakuwa Mrundi/Mha!
 
Wekeni picha yake wadau wajionee wenyewe wao ndio waamua hii mutu ni ya wapi!!!!!!!!!!!!!
 
pamoja na yote watu wa namna hii ni wakuchunguzwa kwa ukaribu sana, mbinu za KG si za kupuuza, tumeshuhudia wengi waliokuwepo huku na sasa wamerudi kwenye serikali yao.
 
Huyu bwana namjua vzr sana kwao ni mkoa wa kigoma wilaya ya buhigwe kata ya mnanila kijiji cha nyakimwe mbunge wake anaitwa Albert Ntabaliba Obama yule mwenye bondeni bar za kulikuwa na river between bar..
Amesoma sekondari MILAMBO TABORA
udsm bachelor masterz zimbabwe phd uk...
Watu wa kigoma(waha) hawana majina hayo ya kayandabira.
 
Pale bungoni ipo hoteli ya waarabu inaitwa yamungu mengi kwa hiyo ni warundi?
 
Asante mkuu. Wakati mwingine majina ya akina Banda na Okello unaweza kuhisi wamehamia Tz jana kumbe wako hapa tokea vita ya mdachi

Sawa kabisa mkuu, majina ya watu wa mipakani yanatia shaka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom