Asikwambie Mtu, Mapenzi ni Heshima

Asikwambie Mtu, Mapenzi ni Heshima

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
Heshima ndio inatunza ndoa, sio upendo. Ile hali
ya ulavidavi wa mwanzoni, yani watu mnakiss
kama vile mnataka kumezana, ni kama bando la
MB 10 haikawii kukata! Baada ya hapo, kinachomfanya baby asiende kummeza mtu
mwingine kwa mabusu, ni heshima tu...nayo
ikipotea atakusaliti hata kama alikupenda bure
bila VAT
 
Kaka unadegree ya hivi vitu.kama kumbukumbu zipo sawa uliichukulia pale udom kwenye zile degree za wale jamaa waloitwa ** na baba **
 
Kaka unadegree ya hivi vitu.kama kumbukumbu zipo sawa uliichukulia pale udom kwenye zile degree za wale jamaa waloitwa ** na baba **
ahahah... Ivi skuile ulikuepo pale uwanjani??
 
Muheshimu mpaka mlambane papuchi ila shetani akitokea ametokea huwezi kuamini. mim kwangu nina amini hakuna mwalimu wa mapenzi sote tunakuwa class hii mpaka uzee na kifo.
 
Back
Top Bottom