Asikudanganye mtu, ni Neema za MUNGU tu

Asikudanganye mtu, ni Neema za MUNGU tu

MarianaTrench

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,212
Reaction score
942
Kuna watu wanashangaza sana. Huwa wanadhani ni kwa akili zao wanafanya au wanafanikiwa..naomba nikukumbushe ni kwa neema za MUNGU aliejuu uko hapo ulipo. Yaani khaaa..ati mi nimsomi ndio maana...kuna wasomi kuliko wewe hawana mbele wala nyuma, kuna matajiri kuliko wewe hawana amani na utajiri wao hauwasaidii chochote...tuwe watu wa shukhrani kwa Mungu. Kuna watu wanatamani kuwa kama wewee yaaani hawawezi.
Nakumbusha tu ni MUNGU pekee.
Mchana mwema dears!
 
sasa kunawatu ambao hawasali wala kanisani hawaendi wanastrago kwa ujanja ujanja tu na mbinu za hapa na pale wanafanikiwa je nao hao ni mungu tu?
 
sasa kunawatu ambao hawasali wala kanisani hawaendi wanastrago kwa ujanja ujanja tu na mbinu za hapa na pale wanafanikiwa je nao hao ni mungu tu?
naam ni mungu tu
kwani yeye si athumani
hutoa riziki kwa majambazi na malaya pia
kwani yeye ndiye aliye waumba
 
Unajua shetani nae anao mfumo wa kutoa riziki chap chap ila mwishowe ni majuto
 
Mkuu hiyo ni siri kubwa sana. Mimi nina rafiki yangu kabisa aliwahi kunitamkia kwa kuwa mama yake ni mjanja(Mchawi ) ndio kamfanya awe hapo alipo na anasema kabisa mimi mama yangu ndio Mungu wangu! Hajali mke wake wala watoto wake yeye muda wote yuko na mama yake. Na huyo mama yake alishahama kabisa kwake kahamia hapo nyumbani kwa mwanawe! Wale wenzangu na mie tusio na wazazi wa aina hiyo tukomae na maombi na kupiga kazi ipo siku tutatoka.
 
Nashukuru kwa walionielewa. Mungu azidi kuwaneemesha....huyo aliekwezwa na mchawi ana mwisho wake. Na kama mkuu alivyosema hapo juu Mungu anagawa riziki kwa wote kama vile mvua inavyonyesha kwa wabaya na wema.
 
Back
Top Bottom