Ashakum si matusi!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,035
Reaction score
126,504
Nimekuwa nikijiuliza hili jambo mara kwa mara na kila nikitaka kuliwasilisha kwenu kwa kuwauliza nilikuwa nasahau ila namshukuru sana Mwenyezi Mungu kuwa leo nimeweza kulikumbuka hivyo basi kabla sijalisahau tena naliwasilisha kwenu.

Ni kwanini sisi Wanaume hata tukiwa Hostel au Bafuni tunaoga huwa hatufichani viungo vyetu " KOROFI " vya mwilini ( Wakubwa Wanaume na Wanawake mmeshanielewa ) na kuna muda utakuta sisi Wanaume tukiwa Hostels au Chumbani mnaweza mkawa " mnaranda randa " mkiwa na SUTI tu ya Mwenyezi Mungu na " mnara " muda wote unatikisika na wala hamshangaani zaidi tu labda ya kusifiana kuwa fulani ana " mkuyenge " wa maana na mkubwa na mnapotezea lakini kwa Wanawake hali huwa ni tofauti sana ambapo hata wakiwa Hostel au Chumbani huwa wanafichana mno maungo " KOROFI " yao na mara nyingi utakuta hata wakiwa tu wanavaa nguo hujifunika kwa Khanga ili mwenzake asimuone.

Sasa nauliza nini hupelekea tofauti hii kati ya sisi WANAUME na WANAWAKE?

Nitashukuru kwa majibu yenu yaliyo " KUNTU " kabisa na naomba kuwasilisha.
 
Umejuaje kuwa wanawake hujisitiri hata mbele ya wenzao?

Nilikuwa nikipenda sana kuwachungulia wakiwa Hostelini mwao na kuna siku moja nakumbuka nilikuwa nimeingia kumwangalia Dada mmoja hivi alikuwa mgonjwa katika Hostel ya Dada zetu ndipo nikajifunza na hayo mengineyo na kwa Wanawake hiyo ni tabia " endelevu ". Sijui una swali lingine tena Mkuu kwani leo nimejaa tele!
 
kuna msemo wanasema "mwanamke kaumbwa na haya" kwahyo nahis ndio kitu kinachowakumba

Bora wewe umenijibu kwa adabu na heshima Mkuu. Nashukuru sana kwani humu tunafundishana na kuelimishana pia na ndiyo dhana nzima ya JF. Jaribuni kuheshimu UZI wa Mtu kwani jambo ambalo labda unaliona kwako ni la kipuuzi kwa mwingine lina maana tena kubwa tu. Shukran Mkuu!
 

Yawezekana nikawa ni " Bwabwa " ila nilimuiga Babako ambaye ni Mwandamizi wa hiyo fani. Nasubiri urudi nimalize Kazi!
 

Hahaha fair enough boss. Sina swali lingine.
 
Yawezekana nikawa ni " Bwabwa " ila nilimuiga Babako ambaye ni Mwandamizi wa hiyo fani. Nasubiri urudi nimalize Kazi!
oooh kumbe ww ni ubwabwa,ahsante kwa matangazo yako,na nadhani ndio lilikuwa lengo la huu uzi wako,haya wenye mapenzi yao na hyo kitu washakuskia subiria pm nyingiiiii,halafu mara nyengine ukitaka kuleta jambo hapa usizunguke njoo straight,maana ndio muda wako huu shule zimefungwa
 
Nimeishi bwenini/Hostel zaidi ya miaka 9, sijawahi ona nyeti za ninaoishi nao.

Hata home kwenye extended family sijawahi ona ,ingawa tunakuwa wengi kwenye single room
 
Nimeishi bwenini/Hostel zaidi ya miaka 9, sijawahi ona nyeti za ninaoishi nao.

Hata home kwenye extended family sijawahi ona ,ingawa tunakuwa wengi kwenye single room
achana na hiki kitoto kina matatizo,chenyewe kimesema hapa kama ni ka ubwabwa kasikuumize kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…