Asha Bakari aanguka ghafla Dodoma

mzenjiboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
907
Reaction score
387
Taarifa ziliopo ni kwamba Bi Asha Bakari wa CCM ameanguka ghafla huko Dodoma akitokwa na damu za mdomo na masikio na hivyo kuwahishwa hospitali ya Muhimbili.




-------------------

CHANZO: Mwananchi
 
Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.
 
Msalani. Naungana na wewe kumtakia mema. Lakini kwa kuwapigania Watanzania,hapana bwana mdogo. Huyu si ndiye yule mbibi aliyemaliza muda wake wote kwa matusi kwa Jusa, akisema serikali ya zanzibar ni ya kimapinduzi haipinduliwi kwa makaratasi, na matuisi kede kede? Anapigania watanzania gani kwa hoja ipi? Mtu asiyejua hata maana ya bunge maalum la katiba, wala hana habari kama kuna kitu kinaitwa rasimu ya katiba!. Tafadhali acha utani.

Dawa yake Dr. ampe complete bed rest ya miaka miwili ili akiruhusiwa kuinuka, akute dunia yake haipo.

La msingi, kama ni ebola, wabunge walioko dodoma wawekwe kwenye quarantine hadi mwezi mmoja upite bila kukutana na watu wa nje. Yaawezekana natural justice Mungu ameileta ili kuwastopisha hawa wahuni.

Mungu amsaidie apate nafuu. Ili arudi bungeni kuendelea kuwapigania watanzania.
 
Huyo bibi simpendi, ni mchumia tumbo na hana jipya. Uwepo wake ni janga kwa wananchi kwenye huu mchakato wa katiba mpya!...Namchukia kuliko kawaida..Nadhani kwa sasa acha nitulie ila nikijiridhisha kwamba hizi taarifa ni za kweli, nitakuwa na hafla weekend hii kuupa hadhi na heshima wakati mzuri kwangu kama huu.Kwa hilo nadhani na kwa kweli nina uhakika itakuwa faraja kubwa kwangu kuondokewa na adui kwenye ulingo wa mapambano! Kwa sasa ni muda muafaka kwangu kuongeza nguvu ili nijiridhishe na habari hii ili mambo yaanze mapema iwezekanavyo! Kila mtu ana muda ambao analazimika kuwa na majonzi na muda ambao anakuwa na furaha.Na huu ni muda wa furaha na faraja kwangu!
 
Huyu mama ndo wa kuufyata?
 
Nimempgia simu anasema huu ni uzushi na yupo salama kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…