Asanteni Ulanga bado Arusha na Ludewa

Asanteni Ulanga bado Arusha na Ludewa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
12289758_922734931151994_628290112517793494_n.jpg
 
Arusha lema anauhakika Wa kura laki mbili na tutachukua viti maalum viwili makamanda msihofu ccm tumeshaimaliza Arusha hizo ni kelele tumeacha diwani mmoja Wa kuwafundisha nini tunafanya
 
Usingetegemea maeneo km Ulanga, wilaya yenye miundo mbinu mibovu, shuleni hakuna, hospital hakuna halafu waje wachague upinzani, wanachagua CCM kwa sababu ya ujinga wao!

Kwenu ulipo panaishinda vipi Mwanza? Mnataka muweke MIDOLI eti wagombea mshinde!! Mnanunuliwa kirahisi hivyo mpewe nchi?

ACT;- TAIFA KWANZA
 
Ni rahisi sana kwa twiga kupenya kwenye tundu la sindano kuliko CCM kushinda kiti cha ubunge Arusha.
Kuna wasiwasi Arusha watu wakampa kura Monabani lakini wanaichukia CCM, na wakamyima Lema lakini wanaipenda Chadema. ( Najua hamjanielewa). ( Du hata na mimi sielewi)
 
Kuna wasiwasi Arusha watu wakampa kura Monabani lakini wanaichukia CCM, na wakamyima Lema lakini wanaipenda Chadema. ( Najua hamjanielewa). ( Du hata na mimi sielewi)

Labda ungeacha hiyo milungi ungeelewa!
 
Kuna wasiwasi Arusha watu wakampa kura Monabani lakini wanaichukia CCM, na wakamyima Lema lakini wanaipenda Chadema. ( Najua hamjanielewa). ( Du hata na mimi sielewi)
Tangu nilipokuona umeanzisha urafiki na NYOSSO haya niliyategemea.
 
Back
Top Bottom