Kwenu Jf
Asanteni kwa muda wenu mliojitokeza sana kwa ajili ya shida nilizozisema .
Napenda sana kuomba radhi kama nitawaudhi baadhi.
Niliomba mtaalam na sio uhusiano naomba mnisamehe kama nimeongea vibaya kwa maana hilo mkija pm naomba mnisaidie kwa lile moja la mtaalam.
Asanteni na Usiku Mwema.
Asanteni kwa muda wenu mliojitokeza sana kwa ajili ya shida nilizozisema .
Napenda sana kuomba radhi kama nitawaudhi baadhi.
Niliomba mtaalam na sio uhusiano naomba mnisamehe kama nimeongea vibaya kwa maana hilo mkija pm naomba mnisaidie kwa lile moja la mtaalam.
Asanteni na Usiku Mwema.
