Asanteni kwa ushauri

Asanteni kwa ushauri

EveLady

Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
30
Reaction score
43
Kwenu Jf
Asanteni kwa muda wenu mliojitokeza sana kwa ajili ya shida nilizozisema .
Napenda sana kuomba radhi kama nitawaudhi baadhi.
Niliomba mtaalam na sio uhusiano naomba mnisamehe kama nimeongea vibaya kwa maana hilo mkija pm naomba mnisaidie kwa lile moja la mtaalam.
Asanteni na Usiku Mwema.
 
Nakuja pm hizo ndiyo fursa sasa siku zote mwanamke anatongozwa akiwa na matatizo
Hiyo ni sir ya jesh usimwambie mtu mwingine @jingalao,@stroke,ndege JOHN,YEHODAYA@cocochanel@GENTAMYCIN@Magonjwa mtambukwa@chakubanga

Mmawia@Erythrocytes@gemmanuel@Mwanahabari huru@Qininine

Njoon muanzishe lig yenu mi ntakua refa kwa sababu ni tabia yenu kupigana
Njoon huku tubebe box kama vp
 
Jamani msiwe mnawatangazia wavuta bangi kuhusu Jf, ona sasa ilivyovamiwa.
 
Wataalam wapo wengi tu ingia google au insta tafuta unachotaka
 
Nawaombea Mungu wote wale wanayoona maisha magumu ya mtu ni utani au kaja hapa kujoke around wapate mara mbili au tatu yake.
Ili naye akiona mtu anashida anajua shida nini.
 
anataka Mganga na sio mwanaume, maana anadai PM yake imejaa mitongozo na sio Namba za waganga kama alivyodhani.
 
Back
Top Bottom