Lema: Magufuli ogopa wanao kupigia makofi na mapambio wanakupoteza kuwa makini nakushauri kwa mara ya mwisho

Maneno Meier

JF-Expert Member
May 12, 2013
2,469
1,697



Asante sana Mbunge Lema umenena mambo mazuri sana. Hata mimi , kama nimekuelewa vizuri, naona maendeleo ambayo yako nchini ni maendeleo ya vitu na sio maendeleo ya watu na ambayo sio future ya watanzania.

Rais Magufuli ana tuaminisha sisi kuwa analeta maendeleo ya watu. Wakati ukweli sio hivyo. Maendeleo yanayo letwa na Rais wetu naona yanaelekezwa zaidi kwenye vitu zaidi badala ya watu.

Katika utalii naona Waziri Kigwangala bado hajajua strategy ya kuiwezesha nchi yetu kuwa na watalii wengi. Ndege peke yake sio solution. Brain wash ndiyo solution. Nisameheni kwa kulitumia hili neno kwa makusudi.

Nimesha wahi sema mara nyingi sana kuwa kuwatumia ma Stars kama Willy Smith na Prominent persons kama Rais Obama na Prince William wanao kuja likizo na familia zao, kama njia ya kuwa vutia watalii, hiyo haita work hata mara moja.

Kama tunataka kuwatumia prominents ili kuutangaza utalii wetu, basi hatuna budi kuwa wabunifu. Kwa mfano; tunaweza mtumia Willy Smithy, akiwa kama agent anayezuia biashara ya meno ya tembo, katika filam ambayo tumeibuni sisi wenyewe inayo husu kuuawa kwa Tembo wetu na majangili kwa ajili ya biashara ya meno ya tembo, tuseme nchini China, na Rais Obama akawa kama Rais wa Amerika anaye shirikiana na Willy Smith kutokomeza biashara hiyo ambayo ina athiri wanyama na Mbuga zetu.

Filim hiyo ikiwa na mafanikio na ikionyeshwa kwenye cimemas zao na kwenye Videos na Media nyingine kama Youtube, hapo ndipo watu wengi watataka kuja kwetu.

Niwape mfano, ile filim ya King Lion, ime wafanya wazungu wengi wajue kuwa kuna nchi anaitwa Madasca na lugha ya kiswahili kwa upande mwingine kujulokana.

Njiani nyingine ambayo ni muhimu sana, ni njia ya kiwatwanga wazungu kwa matangazo ya mbuga zetu kwenye Media zao kama BBC, CNN, CNBC, Al Jazeera na kadhalika.

Tofauti tuliyo nayo ukilinganisha na maendeleo ya wachina ni kwamba wachina wana produce manufactured goods zilizo kuwa designed na wenyewe na nyingine kuwa designed nje, wakati sisi bado tunategemea agricultural products na madini yetu ambayo bado hayajaanza kutuingizia faida tunayostahili.

Hayo madege anayo yanunu na mabasi ya mwendo kasi akiondoka walakini wa kufa ni mkubwa sana. Labda tumpate kiongozi mwingine ambaye atakuwa kama yeye ili kuendeleza aliyo pacha
 
Kwahiyo ile sera ya Mzee Cheyo ya
KUWAJAZA WATU PESA MIFUKONI
imepata sasa wasemaji wazuri upinzani na kuna uwezekano wa kuwapo Collabo ya UPD na CHADEMA?
 
Kaandika mambo.mengi as if sisi tu ndio tunahitaji kujitangaza!!! Kifupi aelewe kuwa kampuni binafsi za kitalii za nje zinafanya kazi kubwa kuliko hata serikali kutangaza utalii wetu ili wapate wateja wa kuwaleta wapate pesa .Hao mabilionea na maraisi wanaokuja hawaletwi na serikali kampuni za utalii za kwao ndizo zinawaleta.

Kampuni za utalii za ndani zikiwemo za akina Godbless Lema zimebweteka huwa hazitafuti watalii zinasubiri tu waje wao wawabebe kuwapeleka mbugani .

Ushauri wangu ni kuwa kampuni za utalii za ndani ziwe active kutafuta watalii wakiwemo wa ndani.Unaenda hata maonyesho ya biashara ya kimataifa yanayofanyika dar es salaam.huoni kampuni hata moja ya utalii yenye Banda wamekaa kibwege bwege tu.Hawajitangazi hata ndani
 
Wazee wa kuokoteza hoja Kama kawaida yenu, mnachokiona AMBACHO hakigusi wananchi moja kwa moja Ni ndege tu?

Vipi kuhusu Treni ya kati, (Tanga-Moshi), vipi kuhusu kurudisha nidhamu utumishi wa umma, hatusemi zahanati, elimu bure inawapenga kina nani? Hivi Kuna SGR, au Mradi wa Rufiji, labda angegusia pia sekta ya madini, au upanuzi wa bandari ya dar es salaam gati 0-8.

Sasa mnajikita kwenye kuokoteza okoteza yule Mwami juzi/Jana kaja na sabotage ya bandari ya bagamoyo ooh wakenya wameshinda hakushangilia tulivyowanyang'anya Mradi wa bomba la mafuta la Hoima-Tanga, mbona husemi kwamba Tanzanite Sasa hivi haiuzwi nje ya Mererani.


Mnachojua Ni kuzua na kuzusha tu.

Kuna habari pafu moja la bangi linakaa miaka 40 kichwani sasa Lema ndio kwanza hata yeye mwenyewe ana 40+ toka azaliwe na keshakula Misumari mingapi.
 
Kaandika mambo.mengi as if sisi tu ndio tunahitaji kujitangaza!!! Kifupi aelewe kuwa kampuni binafsi za kitalii za nje zinafanya kazi kubwa kuliko hata serikali kutangaza utalii wetu ili wapate wateja wa kuwaleta wapate pesa .Hai mabilionea na maraisi wanaokuja hawaletwi na serikali kampuni za utalii za kwao ndizo zinawaleta.

Kampuni za utalii za ndani zikiwemo za akina Godbless Lema zimebweteka huwa hazitafuti watalii zinasubiri tu waje wao wawabebe kuwapeleka mbugani .

Ushauri wangu ni kuwa kampuni za utalii za ndani ziwe active kutafuta watalii wakiwemo wa ndani.Unaenda hata maonyesho ya biashara ya kimataifa yanayofanyika dar es salaam.huoni kampuni hata moja ya utalii yenye Banda wamekaa kibwege bwege tu.Hawajitangazi hata ndani
Naam. Asante sana. Mwambie Rais Magufuli atambue kuwa nchi ya viwanda ni wananchi kujituma na sio yeye tu peke yake kuteua mazezeta ambao hawana vision na kuwafokea.

Yeye Rais anaweza na ana nia nzuri sana. Tatizo lake, kama ulivyo sema, spirit ya watanzania wenyewe ni ya kusua sua. Watanzania bado tuko gizani. Tunataka kila kitu tufanyiwe na sisi kazi yetu ni kula Bata tu.

Nitarudi baadae.
 
Wazee wa kuokoteza hoja Kama kawaida yenu, mnachokiona AMBACHO hakigusi wananchi moja kwa moja Ni ndege tu?

Vipi kuhusu Treni ya kati, (Tanga-Moshi), vipi kuhusu kurudisha nidhamu utumishi wa umma, hatusemi zahanati, elimu bure inawapenga kina nani? Hivi Kuna SGR, au Mradi wa Rufiji, labda angegusia pia sekta ya madini, au upanuzi wa bandari ya dar es salaam gati 0-8.

Sasa mnajikita kwenye kuokoteza okoteza yule Mwami juzi/Jana kaja na sabotage ya bandari ya bagamoyo ooh wakenya wameshinda hakushangilia tulivyowanyang'anya Mradi wa bomba la mafuta la Hoima-Tanga, mbona husemi kwamba Tanzanite Sasa hivi haiuzwi nje ya Mererani.


Mnachojua Ni kuzua na kuzusha tu.

Kuna habari pafu moja la bangi linakaa miaka 40 kichwani sasa Lema ndio kwanza hata yeye mwenyewe ana 40+ toka azaliwe na keshakula Misumari mingapi.
Vizuri sana. Nitakuja tena. Asante sana.
 
Hiyo sector ya utalii inahitaji watu smart kwenye Brain sio aina ya Kigwangale,

wa Kenya bado watatawala kwenye hiyo sector paka pale tutakapo pata kiongozi ambaye is bussiness oriented......
Kenya wako active Sana sababu kampuni zao za utalii ziko active Zina branches ulaya na Marekani kusaka watalii .Sisi kampuni zetu za utalii hata ukiuliza mwanachuo wa chuo kikuu au afisa wa serikali hata hazijui.Na ukimuuliza ukitaka kwenda Mfano kutalii mbugani utatumia kampuni gani hajui .Kampuni zetu za utalii zipo zipo tu

Issue sio waziri au serikali ni ujinga wa kampuni zetu za utalii na kutokuwa active
 
Back
Top Bottom