notradamme
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 2,009
- 453
ukiwa ni muhalifu kama yeye, na uhalifu wenu mnafanya pamoja! ni wazi madhara ya uhalifu lazima mpate wote. ajabu! unakna fahari kuwekwa rumande? au ulipata mwenza ukiwa huko?Mbowe tumepigwa naye mabomu, Mbowe tumesota nae rumande, Mbowe tumepoteza muda wetu sote kwa kazi za chama, Mbowe tumeingia gharama zetu binafsi kwa ajili ya chama. Mwacheni Mbowe wetu jamani!
Naendelea kusisitiza ni muhuni kwa maana mwanasiasa huyu mzoefu wa haya mambo ya kufukuzana ingekuwa ni busara zaidi kipindi mgogoro huu unaanza angemuita Kijana ZZK na kujaribu kumshauri naamini ZZK ni kijana msikivu sana lakini sio hii alofanya kushauri baada ya moto kuwa mkali zaidi mambo ya "angelijua"yashapitwa na wakati,alichofanya ni kujikosha kwa akina Mbowe na Slaa ndo maana ushauri wake kautoa kwenye gazeti la Tanzania Daima,kuwa mjanja mkuu fungua macho...huu mgogoro watu washaufanya mtaji.
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Hapa sielewi yani alosema hapo si kweli?
Na kama ni kweli hakutakiwa kusema kisa hakumshauri?
Na pia unauhakika kwamba hajamshauri? Na mbona kwa huu uzi kasema mengi ambayo zitto anawezafanyia kazi?
Lakini tabia ya zitto ya ovaconfidence si waijua mkuu wangu.
Sawa inaweza akawamuhuni kama unavosema ww je umepima na kugundua kwamba hizo hoja zake zina uhuni?
Kazi nyingine ni tamko la Mzee Mkono (mpaka sasa hajakanusha).
ZZK alisema ana Freelander na Carina ambayo inakaaga Mwadiga.
TL akasema amehongwa NISSAN Patrol na Land Cruiser
Mzee Mkono akasema amemuuzia Patrol na 'anamkodisha' Landcruiser tangu mwaka 2009.
Nilichosikia baada ya haya maelezo ni kumuita mmoja wapo wa hawa 'kifaranga' lakini majibu halisi bado.
Ninachojaribu kutafakari juu ya Mahakama zetu ni pale zinapotoa hukumu za kuwabakisha wanachama kwenye vyama ili 'wasiathirike'.
Mwanachama wa chama cha siasa kama mtu binafsi anayo haki ya 'kulindwa na Mahakama' but on the other way round iko hivi: Je vyama kama Taasisi nazo si zina haki ya kulindwa na Mahakama kwa mujibu wa Katiba zao na Katiba ya nchi kwa ujumla!?
Kwa maana hiyo, kweli inawezekana siku moja ikatokea Mahakama 'ikatoa hukumu' ya kumlazimisha mwanachama aliyeamua kuondoka/kukihama chama asiondoke ili isisababishe damage kwa chama na shughuli zake? (fikiria mara mbili kama hujanielewa tafadhali).
kumbe wewe ni team slaa
hapana.....naona michango yako mingi ina mwelekeo wa kiushabiki kwa hao watuThis is the signature of a one track mindset.
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "
hapana.....naona michango yako mingi ina mwelekeo wa kiushabiki kwa hao watu
okay karibu CCMAwali nimependekeza safu nzima ya uongozi wa juu ya CHADEMA, wakiwamo Zitto, Slaa na Mbowe, iondolewe ili kukirudishia chama imani miongoni mwa wananchi wanaofikiria.
Sasa kwa kutaka Slaa aondolewe, nitakuwaje mshabiki wa Slaa?
Ona hapa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-mapendekezo-ya-usuluhishi-4.html#post8333292
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "
Hivi kwanini unaacha hoja na kutaka tujadili mtu? Badala ya kusoma hoja na kujikita huko wewe unaangalia mtoa hoja. Fallacy!Huyu alihusika sana kuiua NCCR Mageuzi! hivi yuko chama gani kwa sasa?
"Zitto ameijenga chadema na amewavutia wengi waingie chadema, ukiondoa Mbowe wengine wote pale juu wamemkuta Zitto na ni yeye aliyewachagiza wajiunge chadema leo wanajaribu kumtusi kivipi?Tunaofahamu siasa na wanasiasa hawa tuliona mbali tukaonya na kushauri suala hili litakigharimu chama, lakini ikadharaulika, wakabeza naona shughuli yake wanaipata sasa mpaka wanakimbia mahakamani. Zitto sio mwepesi kama baadhi ya watu wanavyojidanganya. Tulisema mtu huyu si wa kung'oa na kutupa kirahisi ni mzito kama jina lake na hii ni kutokana na mchango wa jasho lake alioutoa kuijenga CDM. Vijana walioanza siasa 2010 leo wamepandikizwa chuki na uongo kutwa nzima wanatukana hovyo mitandaoni. Wengine hatusemi lakini tumeona mengi na kuwaona wengi. Leo hii chama kinavurugwa inaumiza sana. Tatizo kuna watu wanajipa mamlaka ya kukiendesha chama ndio hao hao wavurugaji, watunga uongo, watunga fitna na uzandiki. Haya hayasaidii bali kuathiri ustawi wa chama. Mtu mbunge mzima unamobilize vijana waache kufanya kazi wakajazane mahakamani kuzomea. Huku ni kuwajaza ujinga. Naskitika vijana wamegeuzwa vipasa sauti vya wahafidhina, walilia posho na wafuja ruzuku. "