Asante Mungu, Asanteni Jf, Utumishi wqmeniita kazini!

ndugu yako

Senior Member
Mar 30, 2013
193
96
Kwanza kabisa namshukr Mwenyezi Mungu, BABA mkuu wa rehema na fadhila hakika kumtegemea Mungu ni zaid ya inavyoweza kuelezeka.
Nlipokuwa chuoni nilimuomba Mungu, kwamba Oral Interview yang ya kwanza, hyo hyo ndo iwe kazi yangu, BWANA kanijibu kweli, Nlifanya oral interview kwa mara ya kwanza na utumishi (mwezi june 2014) na BWANA kajibu kama nlivyoomba, nimeitwa kazini!!

Lakin pia nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipoushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuweka hili jukwaa!!!

Lakini pia niwashukuru memberz wooote waliowahi kuchangia au kupost humu jambo lolote kuhus interview za utumishi.
Nilipoitwa kwa ajili ya interview kitu cha kwanza nlisearch post zooote zlizokuwa zinazungumzia "utumishi interview" na kupitia hzo post na michango iliyokuwemo niliweza kujifunza kitu na kwa asilimia kubwa ni kama nilipata muongozo woote kuhusu interview za utumishi.

Asanten saaana wakuu BWANA awabariki na kuwazidishia.
 
Asante ubarikiwe zaidi na wale ambao bado hawajapata msikate tamaa Mungu yupo wakati wako ukifika utamwona Bwana.
 
Hongera na Mungu akutangulie kwani hakika amekuchagua,kwani tupo wenzako tumefanya usail kadhaa haijajibu,naamin folen yetu bado.Usimsahau Mungu kwa matoleo.
 
Hongera na Mungu akutangulie kwani hakika amekuchagua,kwani tupo wenzako tumefanya usail kadhaa haijajibu,naamin folen yetu bado.Usimsahau Mungu kwa matoleo.
Pole mkuu ila usikate tamaa, jambo kubwa na la msingi usichike kumuomba Mungu.
Nashukur kwa pongezi na ushauri wako.
 
Hongera kwa kupata kazi. Tumikia umma wa watanzania kikamilifu na kwa uaminifu. Kuwa mwaminifu kwa Mungu wako, nafsi yako, ndugu zako na taifa lako
 
Kwanza kabisa namshukr Mwenyezi Mungu, BABA mkuu wa rehema na fadhila hakika kumtegemea Mungu ni zaid ya inavyoweza kuelezeka.
Nlipokuwa chuoni nilimuomba Mungu, kwamba Oral Interview yang ya kwanza, hyo hyo ndo iwe kazi yangu, BWANA kanijibu kweli, Nlifanya oral interview kwa mara ya kwanza na utumishi (mwezi june 2014) na BWANA kajibu kama nlivyoomba, nimeitwa kazini!!

Lakin pia nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipoushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuweka hili jukwaa!!!

Lakini pia niwashukuru memberz wooote waliowahi kuchangia au kupost humu jambo lolote kuhus interview za utumishi.
Nilipoitwa kwa ajili ya interview kitu cha kwanza nlisearch post zooote zlizokuwa zinazungumzia "utumishi interview" na kupitia hzo post na michango iliyokuwemo niliweza kujifunza kitu na kwa asilimia kubwa ni kama nilipata muongozo woote kuhusu interview za utumishi.

Asanten saaana wakuu BWANA awabariki na kuwazidishia.
hongera sana mwana jamvi, jamani naombeni mwenye hayo majina ayamwage humu, najaribu kufungua web ya utumishi haifunguki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom