ndugu yako
Senior Member
- Mar 30, 2013
- 193
- 96
Kwanza kabisa namshukr Mwenyezi Mungu, BABA mkuu wa rehema na fadhila hakika kumtegemea Mungu ni zaid ya inavyoweza kuelezeka.
Nlipokuwa chuoni nilimuomba Mungu, kwamba Oral Interview yang ya kwanza, hyo hyo ndo iwe kazi yangu, BWANA kanijibu kweli, Nlifanya oral interview kwa mara ya kwanza na utumishi (mwezi june 2014) na BWANA kajibu kama nlivyoomba, nimeitwa kazini!!
Lakin pia nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipoushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuweka hili jukwaa!!!
Lakini pia niwashukuru memberz wooote waliowahi kuchangia au kupost humu jambo lolote kuhus interview za utumishi.
Nilipoitwa kwa ajili ya interview kitu cha kwanza nlisearch post zooote zlizokuwa zinazungumzia "utumishi interview" na kupitia hzo post na michango iliyokuwemo niliweza kujifunza kitu na kwa asilimia kubwa ni kama nilipata muongozo woote kuhusu interview za utumishi.
Asanten saaana wakuu BWANA awabariki na kuwazidishia.
Nlipokuwa chuoni nilimuomba Mungu, kwamba Oral Interview yang ya kwanza, hyo hyo ndo iwe kazi yangu, BWANA kanijibu kweli, Nlifanya oral interview kwa mara ya kwanza na utumishi (mwezi june 2014) na BWANA kajibu kama nlivyoomba, nimeitwa kazini!!
Lakin pia nitakuwa mchoyo wa fadhila kama nisipoushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuweka hili jukwaa!!!
Lakini pia niwashukuru memberz wooote waliowahi kuchangia au kupost humu jambo lolote kuhus interview za utumishi.
Nilipoitwa kwa ajili ya interview kitu cha kwanza nlisearch post zooote zlizokuwa zinazungumzia "utumishi interview" na kupitia hzo post na michango iliyokuwemo niliweza kujifunza kitu na kwa asilimia kubwa ni kama nilipata muongozo woote kuhusu interview za utumishi.
Asanten saaana wakuu BWANA awabariki na kuwazidishia.