Asante Mizengwe( maigizo) leo ujumbe wenu umetisha balaaa

Asante Mizengwe( maigizo) leo ujumbe wenu umetisha balaaa

Hatuna Umeme kwan wa mefundisha nn
 
Dah, nimeikosa hii leo nilikua kwenye traffic jam.
Hivi marudio huwa ni lini??
 
Watanzania tujifunze kupongeza pale inapobidi hakika igizo la mizengwe la leo tarehe 20 march 2016 ni lenyefundisho kubwa sana hongereni sana

Mizengwe ya tarehe 20 march 2016. Hongereni wandaaji mizengwe ya jumapili ya leo, ha! ha! ha! mizengwe mmetisha.
 
Ujumbe ulikua nn mtoa mada tuelezee bac tulikua tunahesabu kula wengine
 
Mizengwe Nouma sana sijawahi kosa kila JP.Kwa wale ambao walikosa kuangia..lilihusu mume kumlaumu mke kuwa anatembea nje ya ndoa au anachepuka,baada ya malumbamo Mke akashtaki kwa baba take,kuwa Mr ake anamdunda kinouma kwa kisa cha kumtuhumu anachepuka,baadae baba MKWE akapata wazo LA kwenda kwa mganga kupata uhakika..baada ya kufika kwa mganga ambae ni Mkwere hali ilikuwa hivi: Mganga alitoa sharti LA kila MTU kuruka kichungu cha ubani kama amechepuka atageuka kuwa kenge ..kimbembe kwweny kuruka..Ba MKWE akatoka nduki...Sarafina nae akagoma...na Mr ake wote waligoma..baadae mke wa mganga akamwambia nao wajaribu kuruka kama kweli hawachepuki..kazi ikawa ngumu..wakajikuta wote wanachepuka..kifupi ndio ivo
 
Mizengwe Nouma sana sijawahi kosa kila JP.Kwa wale ambao walikosa kuangia..lilihusu mume kumlaumu mke kuwa anatembea nje ya ndoa au anachepuka,baada ya malumbamo Mke akashtaki kwa baba take,kuwa Mr ake anamdunda kinouma kwa kisa cha kumtuhumu anachepuka,baadae baba MKWE akapata wazo LA kwenda kwa mganga kupata uhakika..baada ya kufika kwa mganga ambae ni Mkwere hali ilikuwa hivi: Mganga alitoa sharti LA kila MTU kuruka kichungu cha ubani kama amechepuka atageuka kuwa kenge ..kimbembe kwweny kuruka..Ba MKWE akatoka nduki...Sarafina nae akagoma...na Mr ake wote waligoma..baadae mke wa mganga akamwambia nao wajaribu kuruka kama kweli hawachepuki..kazi ikawa ngumu..wakajikuta wote wanachepuka..kifupi ndio ivo
...asante mkuu...hili bweg.e muanzisha uzi na mabweg.e yenzie yanasifia tu bila hata maelezo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom