1. Tanzania ambayo hatuzikani, hatupaswi kutembeleana tuwapo katika shida kama tu wa vyama tofauti.mtu lazima aalikwe ndo aende kuzika
2. Tanzania ambayo ukiwa na mawazo tofauti ni msaliti
3. Tanzania ambayo unaweza kaa miezi hujamuona waziri akiongea
4. Tanzania ambayo hela ya rambirambi tunaelekeza kwenye miradi ya maendeleo
hadi 2020 fikra zetu zitakuwa zishakukuzoea na tutacheza ngoma moja
2. Tanzania ambayo ukiwa na mawazo tofauti ni msaliti
3. Tanzania ambayo unaweza kaa miezi hujamuona waziri akiongea
4. Tanzania ambayo hela ya rambirambi tunaelekeza kwenye miradi ya maendeleo
hadi 2020 fikra zetu zitakuwa zishakukuzoea na tutacheza ngoma moja