sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,377
Marioo kaonyesha ambacho tumekuwa tunawaambia kila siku kuwa ni mkubwa kuliko Konde.
Kwenye category ambazo wamesimama wote Marioo kamgalagaza vibaya huyo hamonaizi.
Tunawaambia tena achaneni na kiki za insta hizo hata hamorapa na Amba rutty wanazungumziwa.
Marioo kamnyoosha sana sasa hakuna tena ubishi konde ni underground kwa Marioo.
Acha tuendelee kugonga henny kazi imeisha ๐๐๐๐
Kwenye category ambazo wamesimama wote Marioo kamgalagaza vibaya huyo hamonaizi.
Tunawaambia tena achaneni na kiki za insta hizo hata hamorapa na Amba rutty wanazungumziwa.
Marioo kamnyoosha sana sasa hakuna tena ubishi konde ni underground kwa Marioo.
Acha tuendelee kugonga henny kazi imeisha ๐๐๐๐