habari za jioni.
maneno tajwa hapo juu yamekua yakisemwa na w/wake wengi na wanaume baadhi pindi mahusiano yanapovunjika.Bila kuzingatia alikua mpnz wako wa 1 au wa 873...
m hujiuliza hivi kwanini useme hivyo?
1.ulimfanyia mambo mengi mazuri ukitegemea yatamteka akili na kuto kukuacha?
2.ulijiheshimu bila kuchepuka ukijisemea peke ake ndo aujue mwili wangu?
3.ulikubal akubikiri.ukidhani ndo zawadi pekee m/me au m/ke ata changanyikiwa nayo?
4.ulikua humuombi pesa.ndo kwanza unamsaidia akikwama.
5...
.... USHAURI WANGU KWENU
Usimfanyie mtu jambo jema ukadhani ndo itakua dhamana ya kuto kukuacha..wengi hulalamika nimemsomesha,nimemfungulia biashara..n.k.
mfanyie jambo mwenzio kwa mapnz yako na si njia ya kumteka au kwa kutegemea jambo bora zaidi toka kwake..acha mapnz yakue yenyewe kati yenu..
njia nzuri ya kutojutia mahusiano.ni kumpenda mtu kwa moyo wako wote.wengne wanasema ingia hadi na viatu.fanya yale yote ungependa wewe ufanyiwe bila kutegemea something in return..mapnz yakiisha..utaumia kihisia lakini utakua na ujasiri wa kusonga mbele.kwa kua haikua rizki..