Mkuu samahani, kwa nini asali ya chuki wadogo inabei kubwa kuliko asali ya chuki wakubwa wakati ujazo ni sawa ??kama kichwa cha habari kinavyojieleza nauza asali asilia kutoka Tabora kwa bei nzuri
nyuki wadogo lita 30,000
nyuki wakubwa lita 10,000
napatikana dar es salaam maeneo ya changanyikeni
kwa mawasiliano hapa chini
0719076235/0769825138. mnakaribishwa sana
Halafu pia ni dawaupatikanaji wake ni mgumu sana ukifanananisha na nyuki wa kubwa mkuu. ndio maana inauzwa bei kubwa.